mirinda nyeusi
Member
- Feb 20, 2018
- 63
- 32
Mkuu muongeze na mzee majutoUkiondoa Mpoki,Joti na Kitale wengine wote wanalazimisha fani lkn hawaiwezi uyo Idrisa na mc pilipil ndio kabisa
Huyo mzee Majuto mi hanichekeshagi kabisaa ki ukweli. Idris kuna mambo yake yananichekesha. Anyway we differ
Unachosema ni kweli,kuna kichekesho cha joti anajiita malkia wa instagram ile ameongea ukweli kbs,maisha wanayoishi wadada wengi wa Inst ni uhalisia ni tofauti kbsIliuchekeshe walau kichekesho chako kiwe na mambo makuu mawili.
1. Ukweli ( tazama joti na mpoki) wana igiza ukweli lakini uwasilishwaji wake ndio unacheka.
2. Maumivu ( mpoki) huyu bwana anatabia ya kusema maumivu ya watu.
Jee, idris yeye amafit wapi?
Hahaahaa kitaaa kulikuwa na ule mchezo wa matani yaani hatari sana. Unaambiwa ulikunywa suda ukapanda chupa mara uliambiwa useme kirefu cha BP ukasema barkenja na pauloHawa wanapata umaarufu nadhani kwa kuwa vijana wa siku hizi hawajacheza ile michezo ya kiswazi ambapo kuanzia asubuhi mpaka jioni mmecheza michezo kibao mpaka mchezo wa mwisho kabisa wa kutaniana (comedy ilikuwa kitaa ya asili)...sasa ukipita kwa mfumo huu comedy za Pilipili na Idris huwezi cheka na kama ukicheka basi inabidi ujifanyishe uende sambamba na washikaji zako uliokaa nao
[emoji23] [emoji23] [emoji23]sijawahi kuingia na siwez poteza muda wangu na sijawahi kukaa na kutazama show zake..zaidi huwa zinanibabatiza labda watu wanatazama napo sichukui hata dk 5 nasepa..na kuna hawa wa chanel tena sijui kinaitwaje kile kipind kuna jamaa anaigiza kama mkongo yaaani hicho ndo ziro kabisa hata huwa sikielewi kinanzia wapi na kinaishia wapi.
Hajachelewa kama ana puncline atafute watu wamuandikie. Tatizo ninaloliona wabongo wengi wanafikiri kuimprovise ndiyo kuwa mchekeshaji mzuri au muigizaji mzuri. Wengi huwa hawajiandai au wanajiandaa kijuujuu.Anaforce Kuwa Stand Up Comedian!Hawezi Fika Level Za Omondi
Umenena vyemaHajachelewa kama ana puncline atafute watu wamuandikie. Tatizo ninaloliona wabongo wengi wanafikiri kuimprovise ndiyo kuwa mchekeshaji mzuri au muigizaji mzuri. Wengi huwa hawajiandai au wanajiandaa kijuujuu.
Hata mzee majuto kuna maneno anatoa unajua hili limemjia tu wala hakujiandaa na unakuta anatoa neno hata siyo fun. Ukitoa kichekesho cha papo hapo hakikisha ni kichekesho kweli, usibweteke kuwa mimi kila neno mikisema watacheka tu.
Napendaga sana kumuangalia MCA tricky. Anavyotoa story lazima ucheke. Na niwachache sana wanaweza toa story ya kuchekesha wengi hudokoadokoa bila kuwa na story yenye mtiririko. Huyu Idrissa akijibiidiisha kwenye kuandika,research na hata kutafuta wanaojua wamuandikie anaweza fanikiwa.
+ bakila, mkudeDaah kiukweli nakuunga mkono 100% kwa sis ambao tunatafuta kucheka Idris sijui na yule Mc pilipili ni Zero kabisa katika fani ya uchekeshaji.
Sijawai furahia vichekesho vyao. Kuna watu wanajua kuchekesha kuna Marehemu Kinyambe(RIP) huyu hanichoshi kabisa nitacheka siku nzima, na wengine mara nyingi kipindi cha vituko Show cha cha chaneli teni kipind kile unacheka mpaka mbavu zinataka kuvunjika, Joti yupo vizur, mzee majuto...mpoki sio sana kivile
Mara Mia nitazame Churchill Show ya kenya..hawa jamaa wapo vizur sana na standup commedy.