Jamaa huyo mmachinga ni Mjinga huo muda wa kwenda polisi angeutumia kumsaidia Binti au kuita watu ingekuwa vizuri sanaKuna machinga anarudi zake home,akaona tukio ndani ya bajaji njemba nne zinalazimisha kumbaka mwanamke.
Akaenda polisi kuripoti akawapeleka mpaka eneo la tukio.Kufika pale zile njemba zishatokomea,binti kalala akiwa uchi ajitambui.
Polisi wakampiga pingu yule machinga palepale mbele ya kadamnasi.
Hili tukio nilifatilia nikasikia kesho yake mwenyekiti wa mtaa alienda kumtetea huyo machinga akaachiwa.
Mpaka saivi una uhakika gani taarifa yako itakuwa imechukuliwa serious ili hali umeitoa juu juu tu?Mimi nimetoa taarifa tu, kama kutoa taarifa ni kesi basi sawa
Watasema hawana mafuta ya gari
Badala ya kumuonea huruma Nondo!Nimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Waache ujingaujinga. Watumie hata mafuta ya kujipaka.Watasema hawana mafuta ya gari
Police watamkamata yeye, ndio upumbavu wa PolisiTafuta namba za police piga cm police ni bure kabisa mwokoe huyo mtu
Halafu aisaidie polisi🤔Sasa hapa kuna police rafiki yangu
Kama ni kweli si uende kituo kilicho karibu nawe ili umuokoe huyo mtu
Mpaka saivi una uhakika gani taarifa yako itakuwa imechukuliwa serious ili hali umeitoa juu juu tu?
Na vipi kama mtu huyo kweli akapatwa na tatizo usiku wa leo ? unadhani hautokuwa mmoja wapo wa kupewa lawama au hata kesi kwa kile kitakacho tokea?
Ni kweli haujataka kufika kituo cha polisi labda kwa sababu unazozijua wewe, lakini je kuna baadhi ya watu wengine hapo mtaani umewadokezea hii m
Mimi sikai maeneo hayoMpaka saivi una uhakika gani taarifa yako itakuwa imechukuliwa serious ili hali umeitoa juu juu tu?
Na vipi kama mtu huyo kweli akapatwa na tatizo usiku wa leo ? unadhani hautokuwa mmoja wapo wa kupewa lawama au hata kesi kwa kile kitakacho tokea?
Ni kweli haujataka kufika kituo cha polisi labda kwa sababu unazozijua wewe, lakini je kuna baadhi ya watu wengine hapo mtaani umewadokezea hii taarifa muhimu?
Whatever,, lakini taarifa si umetuhakikishia ni ya uhakika???Mimi sikai maeneo hayo
Likitokea hilo tukio, jiandae kuisaidia policNimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Kama wanaporwa ccm sawaNimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
Shida sasa huyo muhanga mwwnyewe simjui ila kama ningemjua au mahala anapokaa ningepajua ningeenda kumshtuaWhatever,, lakini taarifa si umetuhakikishia ni ya uhakika???
That's why nikasema, lolote litakalo mkuta mhanga, kwa namna moja ama nyingine wewe ni muhusika,, ni vile tu umejificha kwenye id fake humu 😎.
Ukweli usemwe katika majeshi yote tuliyonayo jeshi la polisi ndio linaongoza kwa matumizi madogo ya akili. Manguvu kibao akili kidogo.Kuna machinga anarudi zake home,akaona tukio ndani ya bajaji njemba nne zinalazimisha kumbaka mwanamke.
Akaenda polisi kuripoti akawapeleka mpaka eneo la tukio.Kufika pale zile njemba zishatokomea,binti kalala akiwa uchi ajitambui.
Polisi wakampiga pingu yule machinga palepale mbele ya kadamnasi.
Hili tukio nilifatilia nikasikia kesho yake mwenyekiti wa mtaa alienda kumtetea huyo machinga akaachiwa.
Upanga ni kubwa sana. Eneo gani hasaNimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni