Tetesi: Kuna tukio la uporaji mali limepangwa kufanyika Upanga usiku huu, Polisi wekeni doria

Tetesi: Kuna tukio la uporaji mali limepangwa kufanyika Upanga usiku huu, Polisi wekeni doria

Kuna machinga anarudi zake home,akaona tukio ndani ya bajaji njemba nne zinalazimisha kumbaka mwanamke.

Akaenda polisi kuripoti akawapeleka mpaka eneo la tukio.Kufika pale zile njemba zishatokomea,binti kalala akiwa uchi ajitambui.

Polisi wakampiga pingu yule machinga palepale mbele ya kadamnasi.

Hili tukio nilifatilia nikasikia kesho yake mwenyekiti wa mtaa alienda kumtetea huyo machinga akaachiwa.
Jamaa huyo mmachinga ni Mjinga huo muda wa kwenda polisi angeutumia kumsaidia Binti au kuita watu ingekuwa vizuri sana
 
Mimi nimetoa taarifa tu, kama kutoa taarifa ni kesi basi sawa
Mpaka saivi una uhakika gani taarifa yako itakuwa imechukuliwa serious ili hali umeitoa juu juu tu?

Na vipi kama mtu huyo kweli akapatwa na tatizo usiku wa leo ? unadhani hautokuwa mmoja wapo wa kupewa lawama au hata kesi kwa kile kitakacho tokea?

Ni kweli haujataka kufika kituo cha polisi labda kwa sababu unazozijua wewe, lakini je kuna baadhi ya watu wengine hapo mtaani umewadokezea hii taarifa muhimu?
 
Mpaka saivi una uhakika gani taarifa yako itakuwa imechukuliwa serious ili hali umeitoa juu juu tu?

Na vipi kama mtu huyo kweli akapatwa na tatizo usiku wa leo ? unadhani hautokuwa mmoja wapo wa kupewa lawama au hata kesi kwa kile kitakacho tokea?

Ni kweli haujataka kufika kituo cha polisi labda kwa sababu unazozijua wewe, lakini je kuna baadhi ya watu wengine hapo mtaani umewadokezea hii m

Mpaka saivi una uhakika gani taarifa yako itakuwa imechukuliwa serious ili hali umeitoa juu juu tu?

Na vipi kama mtu huyo kweli akapatwa na tatizo usiku wa leo ? unadhani hautokuwa mmoja wapo wa kupewa lawama au hata kesi kwa kile kitakacho tokea?

Ni kweli haujataka kufika kituo cha polisi labda kwa sababu unazozijua wewe, lakini je kuna baadhi ya watu wengine hapo mtaani umewadokezea hii taarifa muhimu?
Mimi sikai maeneo hayo
 
Wale jamaa wa TISS ndo muda wao sasa kufanya kwa vitendo...

Washapewa location, sasa ibaki kazi yao moja tu kuguess the most correct locations of the target ili polisi wakapge kambi huko
 
Whatever,, lakini taarifa si umetuhakikishia ni ya uhakika???

That's why nikasema, lolote litakalo mkuta mhanga, kwa namna moja ama nyingine wewe ni muhusika,, ni vile tu umejificha kwenye id fake humu 😎.
Shida sasa huyo muhanga mwwnyewe simjui ila kama ningemjua au mahala anapokaa ningepajua ningeenda kumshtua
 
Kuna machinga anarudi zake home,akaona tukio ndani ya bajaji njemba nne zinalazimisha kumbaka mwanamke.

Akaenda polisi kuripoti akawapeleka mpaka eneo la tukio.Kufika pale zile njemba zishatokomea,binti kalala akiwa uchi ajitambui.

Polisi wakampiga pingu yule machinga palepale mbele ya kadamnasi.

Hili tukio nilifatilia nikasikia kesho yake mwenyekiti wa mtaa alienda kumtetea huyo machinga akaachiwa.
Ukweli usemwe katika majeshi yote tuliyonayo jeshi la polisi ndio linaongoza kwa matumizi madogo ya akili. Manguvu kibao akili kidogo.
 
Nipo Upanga hapa, Mpaka saivi sijasikia Paa. Mambo ni mawili mshamba mmoja kashatekenywa au wahuni kadhaa washashitukia mchongo.

Yani nimechelewa kulala ili nishuhudie tukio Daah umetuuza.
 
Back
Top Bottom