Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila asilimia kubwa watu uachana kwa ubaya mkuu ExtrovertHahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta
Sijawahi kumtafuta sababu hakuna ninachohitaji tena kwake hata niwe vibaya vipi financially, kama nipo broke bora nikope hata kwa marafiki zangu lakini sio yeye.Angalia usimtafute wewe
Una uhakika?Kwakua bado haujakua, basi subiri ukuwe kwanza ndipo utapata jibu sahihi kwamba nini unapaswa kufanya
Unamuongolea JOy kiufupi anapitia hali ya upweke sana, anakupenda tatizo anapenda sana Pesa kwa hio km umeokota Dini la Dhahabu usiache kumrudia Ila km huna maokoto tokomea kusikojulikanaJe kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Ofcourse kuna watu washenzi, hilo sikatai ila kuna watu smart pia. If its not working kila mtu anaangalia mustakabali wake kiutu uzima. Ila kwa wale wasio mature enough anaamua kuchiti mara umemfuma hapo kashakutia hasara kibao na false hopes lazma mtibuane nyongo tu.Ila asilimia kubwa watu uachana kwa ubaya mkuu Extrovert
Sahihi kabisaBinafsi...
Wala hakuna baya kaka upo sahihi kabisa hasa kama ulimpenda kweli kweli....
JOy anapitia wakati mgumu sana depression imemshika plus stress tatizo anapenda sana PesaSahihi kabisa
Joy ni rafiki yangu nami napenda pesa piaJOy anapitia wakati mgumu sana depression imemshika plus stress tatizo anapenda sana Pesa
Hongera sana.X unaweza achana naye, lakini mkawa mnawasiliana kwa issue zingine zenye manufaa kwenu,mfano mimi kuna X wangu anani support kwenye biashara zangu na hatujawahi kuongelea issue za mapenzi tangu tulipo achana
Tujifunze kuwatumia watu kwa faida, Me kufuta no ya mtu kwenye simu yangu naona ni hasara ,Watu ni mtaji
Hakukua na hajaKuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.
Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.
Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.
Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.
Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.
Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Ana watoto kila mmoja na Baba yake kila anaetoa Pesa anamzalisha, km na wewe unapenda Pesa basi jiandae kupanga watoto kila mmoja na Baba yake maana wakishakuzalisha wataingia mitini tuJoy ni rafiki yangu nami napenda pesa pia
Kuongea na ex labda nikishaacha kumpenda.Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.
Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
nakazia hapaUko sawa next time ukiisikia tu sauti yake kata simu, hata kama unapitia wakati mgumu kiasi gani usijaribu kumrudia mpenzi ulieachana nae.
Ndiyo na vile kama ulimpenda na akaleta ushenzi.Yeye kukubaliana na uamuzi wangu wa kumueleza aache kunitafuta ?