Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Ila asilimia kubwa watu uachana kwa ubaya mkuu Extrovert
Ofcourse kuna watu washenzi, hilo sikatai ila kuna watu smart pia. If its not working kila mtu anaangalia mustakabali wake kiutu uzima. Ila kwa wale wasio mature enough anaamua kuchiti mara umemfuma hapo kashakutia hasara kibao na false hopes lazma mtibuane nyongo tu.
 
X unaweza achana naye, lakini mkawa mnawasiliana kwa issue zingine zenye manufaa kwenu,mfano mimi kuna X wangu anani support kwenye biashara zangu na hatujawahi kuongelea issue za mapenzi tangu tulipo achana

Tujifunze kuwatumia watu kwa faida, Me kufuta no ya mtu kwenye simu yangu naona ni hasara ,Watu ni mtaji
 
X unaweza achana naye, lakini mkawa mnawasiliana kwa issue zingine zenye manufaa kwenu,mfano mimi kuna X wangu anani support kwenye biashara zangu na hatujawahi kuongelea issue za mapenzi tangu tulipo achana

Tujifunze kuwatumia watu kwa faida, Me kufuta no ya mtu kwenye simu yangu naona ni hasara ,Watu ni mtaji
Hongera sana.

Wengine hii dhambi acha itupeleke motoni tu na tuonekane tuna akili za kitoto,
Tukiachana vita ni vita tu.
 
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Hakukua na haja
 
Joy ni rafiki yangu nami napenda pesa pia
Ana watoto kila mmoja na Baba yake kila anaetoa Pesa anamzalisha, km na wewe unapenda Pesa basi jiandae kupanga watoto kila mmoja na Baba yake maana wakishakuzalisha wataingia mitini tu
 
Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.

Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
Kuongea na ex labda nikishaacha kumpenda.
 
Back
Top Bottom