an alpha male
JF-Expert Member
- Mar 28, 2022
- 1,026
- 2,211
kumchana haikuwa lazima sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JOy ameokoka saivi hataki pesa anataka ndoa...Joy ni rafiki yangu nami napenda pesa pia
Kwani hana ndugu au marafiki wa kuwapa hi mpaka mimi tu ?Una hakika binti anapokutafuta anakuwa bado na interest na wewe?
Kama je anataka kuona ulivyopauka/ kunona?
Ama tu anakupa Hi
Nisingemchana angezoea na ipo siku anageniharibia hata mahusiano yangu ya sasa.kumchana haikuwa lazima sana.
Ulichokiandika kimeonyesha uwezo wako wa akili upoje na uzoefu wako wa maisha ni mdogo mno.Jifunze kwa waliokutangulia ujue maana halisi ya kuishi na watuKuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.
Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.
Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.
Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.
Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.
Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
We muache siku yuko sehemu kakwama na mtu wa kumpa msaada ni huyo aliyemwambia asimtafute maisha yake yote.Utoto huo, kuna leo na kesho, watu wanaachana kwa amani tu, akikupa hi fresh tu, salamu haitii mimba.
Nu ushamba kuachana na mtu mkaapizana, au hata mkagombana na rafiki, ndugu kisha muapizane msigusane wala kushikana mpaka mauti ya mmoja wenu. Ni ushamba mnooo.We muache siku yuko sehemu kakwama na mtu wa kumpa msaada ni huyo aliyemwambia asimtafute maisha yake yote.
Labda km mademu wa jf wa pm sawa 🤣🤣🤣
NAKAZIAHahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.
Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
Ningeshangaa umalize kutoa ushauri bila kukazia mambo yako pendwa 🤣🤣🤣🤣Nu ushamba kuachana na mtu mkaapizana, au hata mkagombana na rafiki, ndugu kisha muapizane msigusane wala kushikana mpaka mauti ya mmoja wenu. Ni ushamba mnooo.
Halafu wanaume hatuapi hivyo, kuna siku mwali anaukumbuka ukuni, anakuomba na unapiga SAFI NA SALAMA yani.
Kwani kabla ya kuwa nae kwenye mahusiano nilikua naishi vipi ?Utoto huo, kuna leo na kesho, watu wanaachana kwa amani tu, akikupa hi fresh tu, salamu haitii mimba.
Kwahiyo wewe uwezo wako wa akili ni mkubwa sasabu bado unakumbatia ma ex sio ????Ulichokiandika kimeonyesha uwezo wako wa akili upoje na uzoefu wako wa maisha ni mdogo mno.Jifunze kwa waliokutangulia ujue maana halisi ya kuishi na watu
Akiwasalimia ndugu zake na marafiki zake tu inatosha.Utoto huo, kuna leo na kesho, watu wanaachana kwa amani tu, akikupa hi fresh tu, salamu haitii mimba.
Usitukane mamba kabla hujavuka mto, siku penzi lako jipya likichacha au ukipata shida ndio utaelewa.
Alafu wewe inaonyesha bado unampenda unataka kumuumiza ili kupoza machungu uliyonayo
Sio mimi, me mambo ya kuzini na ma ex sina mana siwezi jua wakati hatupo pamoja wahuni wamemchakata dry kiasi gani. Yanini kujitafutia UTI sugu.Nu ushamba kuachana na mtu mkaapizana, au hata mkagombana na rafiki, ndugu kisha muapizane msigusane wala kushikana mpaka mauti ya mmoja wenu. Ni ushamba mnooo.
Halafu wanaume hatuapi hivyo, kuna siku mwali anaukumbuka ukuni, anakuomba na unapiga SAFI NA SALAMA yani.