Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Ulichokiandika kimeonyesha uwezo wako wa akili upoje na uzoefu wako wa maisha ni mdogo mno.Jifunze kwa waliokutangulia ujue maana halisi ya kuishi na watu
 
Utoto huo, kuna leo na kesho, watu wanaachana kwa amani tu, akikupa hi fresh tu, salamu haitii mimba.
We muache siku yuko sehemu kakwama na mtu wa kumpa msaada ni huyo aliyemwambia asimtafute maisha yake yote.
Labda km mademu wa jf wa pm sawa 🤣🤣🤣
 
𝒎𝒂𝒑𝒆𝒏𝒛𝒊 𝒚𝒂𝒏𝒂𝒕𝒆𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒕𝒖
 
We muache siku yuko sehemu kakwama na mtu wa kumpa msaada ni huyo aliyemwambia asimtafute maisha yake yote.
Labda km mademu wa jf wa pm sawa 🤣🤣🤣
Nu ushamba kuachana na mtu mkaapizana, au hata mkagombana na rafiki, ndugu kisha muapizane msigusane wala kushikana mpaka mauti ya mmoja wenu. Ni ushamba mnooo.

Halafu wanaume hatuapi hivyo, kuna siku mwali anaukumbuka ukuni, anakuomba na unapiga SAFI NA SALAMA yani.
 
Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.

Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
NAKAZIA
 
Nu ushamba kuachana na mtu mkaapizana, au hata mkagombana na rafiki, ndugu kisha muapizane msigusane wala kushikana mpaka mauti ya mmoja wenu. Ni ushamba mnooo.

Halafu wanaume hatuapi hivyo, kuna siku mwali anaukumbuka ukuni, anakuomba na unapiga SAFI NA SALAMA yani.
Ningeshangaa umalize kutoa ushauri bila kukazia mambo yako pendwa 🤣🤣🤣🤣
 
Usitukane mamba kabla hujavuka mto, siku penzi lako jipya likichacha au ukipata shida ndio utaelewa.
Alafu wewe inaonyesha bado unampenda unataka kumuumiza ili kupoza machungu uliyonayo

Kama bado nampenda ndo kila siku awe ananitafuta yeye tu ? Mana me naweza kaaa hata miezi 6 bila kumtafuta sababu sina cha ziada kwake saaa unanishangaza kama sio kunichekesha unaponiambia kwamba bado nampenda.
 
Nu ushamba kuachana na mtu mkaapizana, au hata mkagombana na rafiki, ndugu kisha muapizane msigusane wala kushikana mpaka mauti ya mmoja wenu. Ni ushamba mnooo.

Halafu wanaume hatuapi hivyo, kuna siku mwali anaukumbuka ukuni, anakuomba na unapiga SAFI NA SALAMA yani.
Sio mimi, me mambo ya kuzini na ma ex sina mana siwezi jua wakati hatupo pamoja wahuni wamemchakata dry kiasi gani. Yanini kujitafutia UTI sugu.
 
Back
Top Bottom