Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Utoto huo, kuna leo na kesho, watu wanaachana kwa amani tu, akikupa hi fresh tu, salamu haitii mimba.
Hapana aisee, mimi aliniacha kwa maneno ya hovyo sana kisha akarudiana na ex wake, akapewa mimba sa hivi ana mtoto wa kama miezi 9 hivi

Huwa anapenda kujipitisha ofisini kwangu
Mara amlete mwanae amuachie jamaa ninaye fanya nae kazi

Ili mradi tu atafute sababu ya kuongea na mimi

Ila bahati mbaya ndo sina muda nae namuona kama mjinga flani hivi

Maana sa hv nimeoa kabisa na mke wangu ni mzuri kuliko yeye
 
😂🤣Aahh.. kama we unataka mie nifanyaje, tutafanya tu najua kwenye burudani UZAO unapatikana ndani yake.
🤣🤣🤣🤣 Si ulisema hutaki wewe!!
Nimekushika uongo
 
Hapana aisee, mimi aliniacha kwa maneno ya hovyo sana kisha akarudiana na ex wake, akapewa mimba sa hivi ana mtoto wa kama miezi 9 hivi

Huwa anapenda kujipitisha ofisini kwangu
Mara amlete mwanae amuachie jamaa ninaye fanya nae kazi

Ili mradi tu atafute sababu ya kuongea na mimi

Ila bahati mbaya ndo sina muda nae namuona kama mjinga flani hivi

Maana sa hv nimeoa kabisa na mke wangu ni mzuri kuliko yeye
Umeona sasa kilichomtokea yeye, laiti kama mngeachana kwa amani, basi huenda ungemuina mjinga ila usingeshindwa msaidia hata buku 2, ila uaduia aliouleta ndio umemponz.
 
Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.

Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
huwezi kujua wanasemaga
 
Back
Top Bottom