makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Tufanye ya uzao tafadhali, burudani vitatunogea, hatutafikia lengo 😂Basi tuahirishe me nilitaka ya burudani 🤣🤣🤣 sitaki ya uzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanye ya uzao tafadhali, burudani vitatunogea, hatutafikia lengo 😂Basi tuahirishe me nilitaka ya burudani 🤣🤣🤣 sitaki ya uzao
Thitaaki 🤦Tufanye ya uzao tafadhali, burudani vitatunogea, hatutafikia lengo 😂
Teenagers.Ila asilimia kubwa watu uachana kwa ubaya mkuu Extrovert
😂🤣Aahh.. kama we unataka mie nifanyaje, tutafanya tu najua kwenye burudani UZAO unapatikana ndani yake.Thitaaki 🤦
😂🤣🤣 Nikisema sivuti utaamini?Na me nimeona aiseee!! 🤣🤣🤣
Hapana aisee, mimi aliniacha kwa maneno ya hovyo sana kisha akarudiana na ex wake, akapewa mimba sa hivi ana mtoto wa kama miezi 9 hiviUtoto huo, kuna leo na kesho, watu wanaachana kwa amani tu, akikupa hi fresh tu, salamu haitii mimba.
🤣🤣🤣🤣 Si ulisema hutaki wewe!!😂🤣Aahh.. kama we unataka mie nifanyaje, tutafanya tu najua kwenye burudani UZAO unapatikana ndani yake.
Thubutuuu!!! Usivute wewe? 🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣 Nikisema sivuti utaamini?
Umeona sasa kilichomtokea yeye, laiti kama mngeachana kwa amani, basi huenda ungemuina mjinga ila usingeshindwa msaidia hata buku 2, ila uaduia aliouleta ndio umemponz.Hapana aisee, mimi aliniacha kwa maneno ya hovyo sana kisha akarudiana na ex wake, akapewa mimba sa hivi ana mtoto wa kama miezi 9 hivi
Huwa anapenda kujipitisha ofisini kwangu
Mara amlete mwanae amuachie jamaa ninaye fanya nae kazi
Ili mradi tu atafute sababu ya kuongea na mimi
Ila bahati mbaya ndo sina muda nae namuona kama mjinga flani hivi
Maana sa hv nimeoa kabisa na mke wangu ni mzuri kuliko yeye
Mie ni kwa ajili ya uzao, we utafanya kiburudani, mie nitafanya kiuzao uzao.🤣🤣🤣🤣🤣 Si ulisema hutaki wewe!!
Nimekushika uongo
Haki ya nani vile mie sivutiThubutuuu!!! Usivute wewe? 🤣🤣🤣🤣
Haitonoga inatakiwa wote letu liwe moja 🤣🤣🤣Mie ni kwa ajili ya uzao, we utafanya kiburudani, mie nitafanya kiuzao uzao.🤣
Tena wewe sio kuvuta tu! Na kula unakula 🤣🤣🤣Haki ya nani vile mie sivuti
Definitely ni utoto mkuu coz kuna maisha baada ya kubreak up.Hongera sana.
Wengine hii dhambi acha itupeleke motoni tu na tuonekane tuna akili za kitoto,
Tukiachana vita ni vita tu.
Aahh.. likiwa moja hatutafikia malengo, kila mmoja atimize lake.. 😂Haitonoga inatakiwa wote letu liwe moja 🤣🤣🤣
Nachemshia chai asubuhi. 😂🤣Tena wewe sio kuvuta tu! Na kula unakula 🤣🤣🤣
huwezi kujua wanasemagaHahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.
Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
🤣🤣🤣🤣Aahh.. likiwa moja hatutafikia malengo, kila mmoja atimize lake.. 😂
🤣🤣🤣🤣Nachemshia chai asubuhi. 😂🤣