Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

𝑴𝒅𝒂 𝒎𝒘𝒊𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆 𝒖𝒏𝒂𝒌𝒖𝒋𝒂 𝒌𝒖𝒄𝒉𝒆𝒌𝒂 𝒖𝒏𝒂𝒐𝒏𝒅𝒐𝒌𝒂 𝒛𝒂𝒌𝒐
 
hizo hazinyolewi mkuu that hair is for your safety😀😀😀
 
Usikute jamaa kaweka kioo chini akaona Msitu wa Amazon sasa anataka Apige kipara aone Marinda yake vizuri
 
Nyoa tu hasa zinapoleta shida kwa kituu kiingiacho aingizae zinampa shida, nyoa aingize kwa raha zake nawe uuupokeee bila karaha
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
 
Back
Top Bottom