Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Mods 2021 mjirekebishe tafadhari.

Jf Kama Facebook????

Hapana kwa kweli.
 
Mleta mada ana lake jambo nani kakushauri unyoe? ili aingie kirahisi? ameshaona kuna ugumu hapo ndo maana akakwambia umnyolee!?
 
Mbabe mmoja wa kivita aliniambia hilo vuzi la tako ni moja ya Vigezo vya kuingia jeshini mnakaguliwa kama huna huingii jeshi sijui ina ukweli kiasi gani.
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Hivi vipaumbele vyetu kama taifa tunaendeleaje ?
Shule bado zimefungwa?
Vyuo je?
 
Mmmmh..!! samahanini jmn, maybe mm ni mgeni na huyo mtoa mada simfahamu kwa nyuzi zake....nimeona ameuliza tu ss kwann tusimshauri kwa ustaarabu au kumuelewesha kwamba kufanya hivyo kunaashilia hik na hik,

unakuta wengine ndo wanakua halafu kwao hawana watu wa kuongea nao kuhusu hivi vitu, aisee nimeshangaa mmemshambulia hadi sio vizuri.
Mbona wewe humshauri?
 
Back
Top Bottom