Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mawazo ndio zile people zinazo amini mwanaume hatakiwi kuw msafi sana,[emoji706][emoji706]Watoto wa kike ndio wanazitoa,
Wewe dume zima unamnyolea nani sasa.😀
Sas wakike akinyoa anamnyolea nani?unamaanish anyoe ili angiliwe kinyume na maumbile au ajeWatoto wa kike ndio wanazitoa,
Wewe dume zima unamnyolea nani sasa.😀
Acha mawazo kama hayo na usimihusishe Mungu kwenye hizi mamboUshajiukiza kwanini Mungu aliziweka hapo na si kwemye ulimi?
km ni ivo basi ulifanganywa sana hao qalikukula bure tuWee hukupita jeshini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu usiongee tu na kutupa hasira, tuwekee na hiyo picha yako ikionyesha hizo nywele zinazokukera tukusaidie.Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Sujawahi kuliwa pasipo ridhaa yangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]km ni ivo basi ulifanganywa sana hao qalikukula bure tu
Wadai chako
Usikane kijanja umetamka.....bila kujua kuwa kuna watu humu wamepita jeshini ....tena nikwambie na number kabisaa 823 kj...hawafanyiwi ivo... Hilo ni jeshi lako unalolijua...usichafue jeshi letu tukufu.Sujawahi kuliwa pasipo ridhaa yangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata huko jeshini sikuwahi fanyiwa hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nilichokua nazungumza? Na unajua historia yangu? Ko jeshini hawapimi km umeingiliwa kinyume na maumbile? Labda miaka ya zaman, ila mwaka wetu awamu ya kwanza kwa mujibu walipima hilo na mie niliwepo. Nidanganye ili iweje.Usikane kijanja umetamka.....bila kujua kuwa kuna watu humu wamepita jeshini ....tena nikwambie na number kabisaa 823 kj...hawafanyiwi ivo... Hilo ni jeshi lako unalolijua...usichafue jeshi letu tukufu.
Umejitahidi basi mana kuna zile fatiki za lazima Afe shoga na unacomment hadi leo basi upo fit kiasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nilichokua nazungumza? Na unajua historia yangu? Ko jeshini hawapimi km umeingiliwa kinyume na maumbile? Labda miaka ya zaman, ila mwaka wetu awamu ya kwanza kwa mujibu walipima hilo na mie niliwepo. Nidanganye ili iweje.
Na hiyo campan ya wajeda wa 3 ilikua ni kunipa adhabu tyuuh na sio hilo mlilofikiria nyie. Eti jeshi tukufu msieeeew, nimepita mgambo 3months utanambia nn wee?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Inategemea na kazi yakoWadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Ausio mkuuMkuu unaweza nyoa tu, na haina madhara yoyote.
Binafsi nilikuwa sinyoi hata kidogo, na mara nyingi nilikuwa naogopa hasa kauli kama hizi za Wachangiaji hapa Jamvini.
Nimeanza kunyoa baada ya malalamiko ya mke wangu, alikuwa akilalamika mno na nikaona isiwe tabu kwasababu mtu pekee anayeuona utupu wangu hapendi kuniona katika hali ya kuwa na mavinyweleo mengi nimejikuta situnzi hizo nywele na kinyozi mhusika ni yeye tena sehemu zote yaani kuanzia kwapa, chini ya kitovu mbele na hiyo sehemu inayokukwaza mkuu.
Na nimejikuta hata kufuga nywele za kichwani sio mpenzi kapisa maana hata mwenza wangu si mtu wa kufuga minywele.
Haya wanayo andika wanajamvi binafsi nadhani yana akisi kile wakifanyacho ama wafanyiwacho.
Unakaa mkao gani kunyolewa nywele za haja kubwa?Unanyoa tuu hamna shida mbona
@joseverst upo mkuu siku nyingi sana".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "
UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa
factMmmmh..!! samahanini jmn, maybe mm ni mgeni na huyo mtoa mada simfahamu kwa nyuzi zake....nimeona ameuliza tu ss kwann tusimshauri kwa ustaarabu au kumuelewesha kwamba kufanya hivyo kunaashilia hik na hik,
unakuta wengine ndo wanakua halafu kwao hawana watu wa kuongea nao kuhusu hivi vitu, aisee nimeshangaa mmemshambulia hadi sio vizuri.