Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Yaache! Yana kazi yake. Jamaa alijaribu kuyaondoa kwa kutumia wembe mkali, badala ya kuondoa akaongeza njia!

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duu jamani mpaka nimeshitua walio lala [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimeshtuka na nimecheka ( unisamehe kwa kucheka)
But nilivokaa nikatulia nikaona una logic
Kuuliza c ujinga!! Cha msingi ilibidi ujibiwe na ushauriwe!!

Majibu yangu!!
Inategemea sasa na itikadi zako na usafi wako binafsii,
-kama tu mav...z ukiuliza unanyoa au unaacha kila mtu ana majibu yake

-Lakin hamnaga sheria hapo ukinyoa hamna ubaya na ukiacha hamna ubaya
Inategemea na usafi wako kama wewe c msafi bas usipende n vizuri ukawa unanyoa maana utakua unanuka ki..ny...s kama ujuavyo nywere ina nasa nanii kama hujisafish vizur especially watumia toilet paper!!

-hizo ni nywere kama zilivo nyingine za kwapa,vu....z ,au za kifua n.k so kama unamudu kumaintain usafi zisikuletee maradhi ni vizuri
Kama we n mchafu au si msafi nyoa itakuaaidia

-kimuonekano n vizuri mwili wa mwanaume ukajitofautisha na mwanamke !! Inafaa uwe na nywere ndevu,n.k so badala ya kunyoa kabisa kukwangua bas waweza punguza
.........humu unaweza pokea critism nyingi ingawa kuna wanaonyoa na kufuga ila wote wataonesha akili moja (mob psychology)......

Ushauri kama unamaswali mengi pia waweza jiunga Quora kuna watu wengi professional hakuna uswahili hiyo n international platform
 
πš—πšŠπš™πšŠπš πš—πšŠπš£πš˜ πšœπš‘πš’πšπšŠ... πš—πšŠ πš‘πšžπšž πšžπš—πšŽπš—πšŽ πš πš”πš πš πšŠπš”πšžπš£πš’πš”πšŠπšπšŠ πš—πšŠπš”πšžπš•πšŠ 𝚣𝚘𝚎𝚣 πš•πšŠπš”πšžπšπš˜πšœπš‘πšŠπšŠπšŠ
 
Inatakiwa unyolewe na mwenzio! Yanini kujipa shida mama?
 
Jamaa yetu kwenye usaili alikosa ajira hivi hivi baada ya kukutwa kweupe hazipo
 
Spati kitufe cha kucheka, Ila nimecheka haswaaaaa
 
Mood..mood...moderators!! amkeni ....aaa! amka! .. bana! au umesusa kazi? huu uzi unauona unavo rindima au...ndo umekamatiwa masikio na hako kademu kako kazee???! fanyeni kazi bana nywele za kati ndo nn......
 
naonaga wale wangese ndo wanasafishaga kunakuwa kweipe pee..... sasa mkuu ukisafisha hivyo huoni inakuwa kuna sitofahamu kujua utakacho baadae?
 
naonaga wale wangese ndo wanasafishaga kunakuwa kweipe pee..... sasa mkuu ukisafisha hivyo huoni inakuwa kuna sitofahamu kujua utakacho baadae?
π•Œπ•€π•’π•—π•š π•žπ•¦π•™π•šπ•žπ•¦
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…