Mkuu,Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Aaah blaza shida yako ni kukwangua.......... Thread haina upako kabisaSasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .
kuna ubaya na uzuri wake,kwanza ubaya wake ni lazima mtu mwingine ndio akunyoe maana wewe huwezi kujinyoa,hivyo ni lazima mkeo au mwanamke wako afanye hivyo,pia hiyo semu itakuwasha sana ukiinyoa,sasa kama hutawadhi vizuri basi hizo nywele zitashika kinyesi,na huenda ukakaribisha maradhiWadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatariiii.Umejitahidi basi mana kuna zile fatiki za lazima Afe shoga na unacomment hadi leo basi upo fit kiasi
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Msharudiana?!
Hakuna ubaya mkuu maana zikikaa na zikawa nyingi kujisafisha uchafu unaweza nasia kwenye zile nywele.Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
πππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]