Kuna ubaya wowote Feisal kwenda Azam kutafuta hela ili ajenge kesho yake?

Kuna ubaya wowote Feisal kwenda Azam kutafuta hela ili ajenge kesho yake?

Barca wakati wanaweka ile release clause ya Neymar walijua ni pesa nyingi ambayo hakuna timu ingeweza kuufikia

Kama ni kweli Yanga waliweka kipengele hicho kwa Fei kwa pesa ile, watakua nao walijua Fei anaipenda Yanga hawezi nunua mkataba wake tena dirisha dogo.
Hamna kitu kama hiko kama mkataba mliingia watu wawili utavunjwa na watu wawili,hata kama una uwezo wa kununua mkataba lazima timu inayotaka kumsaili iandike barua nasi kujifichaficha ,si unaona Enzo kwa Chelsea, Chelsea wamepeleka barua kwa Benifica.

Issues si hela bali ni kufuata procedure wenzetu ulaya hawawezi kufanya uhuni kama huu,wanajua taratibu za kufuata.
 
Back
Top Bottom