hagau
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 696
- 2,501
Kwa tamaduni zetu uwepo wa watu ndio msiba wenyewe, assume kila mtu akaondoka akabakia marehem mwenyewe ndani kisha asbh ndio kila mmoja anajitokeza kurudi.
Mkilala msibani inakuwa rahisi kupangiana majukum asbh ili watu wanapokuja wakute vitu vingi viko katika msitari
Mkilala msibani inakuwa rahisi kupangiana majukum asbh ili watu wanapokuja wakute vitu vingi viko katika msitari