Hilo nalo lipo sana dearest. Akiambiwa "mi jana nimemchapa mama nanii mabao akatia akili" nae anaenda kufanya praktiko kwake. Hawachanganyi na za kwao. . .wanasomba somba tu.
Mie kauvivu tu nadhani dearest. . .Ila nipo.
Ha ha ha, huna huruma?
Nilidhani utasema, anyway, bado unaweza tumika kwa kusafishia dhahabu lol.
Khaaa! Dhahabu yangu ije ikawa na "dust" bure halafu ishuke bei.
Hapa mbona nina wasi wasi kuwa mtu atakuwa anapendwa kwa 'kuwa kichwa cha nyumba' tu basi...and the subsequent responsibilities ya kuwa 'kichwa cha nyumba si tunazijua wajameni?
Mi sitaki namna hiyo asilani:shock:
asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....
Wapo wanaosema kuwa kiongozi wa nyumba ni kazi. Kwa hiyo, ukiangalia swali ulilouliza kwa angle hii, utagundua kuwa family leadership haiwi determined na mila, desturi, faith au values. Rather, familia itaongozwa na mtu ambaye anajua kuongoza. Kichwa cha nyumba should be the person best suited for the job.
Kwa hiyo, kichwa cha nyumba anaweza asiwe yule mwenye kipato cha juu au yule anayebeba maboksi mazito. Bali kichwa cha nyumba ni yule aliye na uwezo wa ku-organise resources za nyumba, kutatua migogoro ndani ya familia na keeping his/her head in a crisis.
Kitu cha muhimu hapa ni kutofautisha kati ya kiongozi kwenye sehemu ya kazi, na kiongozi wa familia. Tofauti na kiongozi wa sehemu ya kazi, kiongozi wa familia hana option kufukuzafukuza ovyo a bad associate and hiring a better one. Lol.
Safi sana bwana Bishanga! You hit it right on the head.
People should know that before they point out any flaws in others, they should take a hard look at themselves first and be satisfied that they don't have the same flaws that they see in others.
Kuna visichana kibao tu vinavyojifanya 'vianamke' halafu viko kimbelembele kunyooshea vidole wengine. Ooh eti f'lani sio 'real man'....girl please...are you a real woman?
raha ya mwanaumme ni kuwa mpiganaji bwana
familia ikikuangalia wafeel kweli kuna kidume ndani
Na raha ya mwanamke ni utulivu, heshima, na taadhima.
Watu wakimuangalia mkeo au mwanamke wako wanasema 'daah, mchizi pale kweli kapata'. Sio mwanamke uwe mapepe...hujui unachotaka...hujatulia...hodari wa kuona dosari za wenzio ilhali zako huzioni...
na
ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!
asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....
na
ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!
FL1 kusoma hujui hata kuangalia picha?obviously mmewe alikuwa hajarudi na bar zishafungwa!
na
ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!
asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....
halafu sasa cha ajabu nachokiona
Hata mwananamke awe na pesa na akili kiasi gani
Akipata mwanamme according to her definition of a man
Automatically mwanamme anachukua nafasi yake na mwanamke anachukua nafasi
Wala hamjadili nani awe nafasi gani
Vitu ninafall into places accordingly.
So funny!
Hahahah aksante Da mdogo, supposed huko legelege na ulonae si wa kukupanda kichwani? Au hakuna mpenzi wa kweli?Kuna ubaya, hasa ukiwa legelege atakupanda kichwani.
nyamayao hiyo definition yako ya kichwa cha nyumba NDIO niliyoimaanisha mimi.........kuwa kama unampata mtu anayejua wajibu wake kama mume, mpenzi na baba kwa nini usimpe heshma yake na kumruhusu awe mfalme wa maisha yako? why wacwac usokuwa na maana? kujitilisha presha bure!
mbona ni uzuri mtupu! hakuna ubaya wanaume tulio wengi tukipewa heshima zetu na sisi tunaoza kabisa juu yenu! na hata wakina macho kodo hapa ndo husema tumelishwa limbwata kumbe mtoto anjua kusogeza kete,mtoto mashalah! utadhani kazaliwa Tanga
Kbd Dada yangu, uko sahihi kabisa mamii!My dia kama Mungu amekupa mume wa hivyo jiachie bibi tena ujibwage, ya nini kupata presha na maisha yenyewe mafupi haya!
Ila lazima uhakikishe ni mume na ni mwanaume na uridhike kuwa yuko komitedi.
:Cry::Cry::Cry:
Naenda haribu biashara yako.
Kbd Dada yangu, uko sahihi kabisa mamii!
Hahahah aksante Da mdogo, supposed huko legelege na ulonae si wa kukupanda kichwani? Au hakuna mpenzi wa kweli?
Kuna mtu alishawahiandika haya, nanukuu
..."Life is about trusting your feelings and taking chances, loosing and finding happiness, appreciating the memories and learning from the past mistakes..." mwisho wa kunukuu.
Sasa kama tutaishi maisha haya ya mahusiano kwa mashaka na tahadhari kubwa hivi....... tutatrust vipi feelings zetu, tutatakije chances, tutaexperience vipi having and loosing happiness, je ni wapi tutapata good memories za kucherish kama kila siku twaishi na what ifs kibao kichwani? na je tusipojiachia ili life itake mkondo wake past mistakes tutazipataje ili kulearn from them?? maana kuwa too careful kunawezakuzuia usimake mistakes ati. hahahahha
Hapa nakiri kuchanganyikiwa mie ah..... bora lakini...................
da mkubwa, katika mahusiano tahadhari muhimu tena tahadhari kubwa. Tatizo hatuwezi kupredict behaviour ya mtu. Yaweza badilika muda wowote.
Tahadhari ya kuchukua ninayomaanisha hapa si kuzuia moyo kupenda, si kupenda kwa uoga bali ni kuuset moyo kuwa katika safari yenu ya mahusiano chochote (kizuri/kibaya) chaweza kutokea. Hii itasaidia endapo itatokea baya mapokeo yake yatakuwa ni tofauti na ambavyo ungelipokea wakati hukutarajia tangu awali.
Wajua haina maana ya kuishi na mtu kimachale machale au sijui mguu nje na mwingine ndani. Ya nini kuishi na mtu usiyemuamini??? Mi sitaki kulala jicho moja wazi au kuwa na maisha ya siri siri.
Nitakapo amua kusema 'I do' basi nitakua nimeshajiridhisha kua ni mwanaume na ni dereva na yuko responsible. Kitakacho baki kwangu ni kumuombea kwa Mungu na kujisubmit kwake kama kichwa cha nyumba.
Unless kichwa cha biashara yangu awe amesinzia.