Kuna Ubaya Wowote?..

hahahaha! Ngoja nipunguze. Ila mimi siwezi kumpa mwanaume hiyo nafasi. Akishindwa twende sawa basi akubali niwe juu yake. Ikishindikana natupa kule.

....njoja siku unogewe....utakuja na verse mpya humu
Huku ukiwaona wenzio wanakuwekea 'usiku tu'....
 
....njoja siku unogewe....utakuja na verse mpya humu
Huku ukiwaona wenzio wanakuwekea 'usiku tu'....

hahahaha! Moyo wangu mzito kunogewa. Labda kwa ndumba. Lol.
 
hahahaha! Ngoja nipunguze. Ila mimi siwezi kumpa mwanaume hiyo nafasi. Akishindwa twende sawa basi akubali niwe juu yake. Ikishindikana natupa kule.

Hahahahah kweli baki na Uporoto wako tu maana ndiye anayekuwezea! hapo kwa kwenda sawa inategemea unadefine vipi Da mdogo maana kwa usawa wetu wa Beijing!! Sidhani!
 
Hahahahah kweli baki na Uporoto wako tu maana ndiye anayekuwezea! hapo kwa kwenda sawa inategemea unadefine vipi Da mdogo maana kwa usawa wetu wa Beijing!! Sidhani!

da mkubwa hujui uporoto tushatupana kule. Yule sio shem wako tena. Usawa ni hivi; kama anataka tufanye jambo fulani ni lazima tukubaliane kwa pamoja na sio kwa sababu yeye ametaka na wakati huo ndio kashajiona libichwa (sio kichwa tena) anilazimishe.
Usawa ninaoutaka haswa ni katika kushirikishana katika maamuzi ya muhimu na kukubaliana kwa pamoja.
 

Ndo unadumisha penzi hata mshahara wako unanikabidhi mimi ndo napanga bajeti ya mwezi mzima.
 
hahahaha! Ngoja nipunguze. Ila mimi siwezi kumpa mwanaume hiyo nafasi. Akishindwa twende sawa basi akubali niwe juu yake. Ikishindikana natupa kule.


Daaah! Bi dada naona kama una-ovateki kwa spidi ya 120 kwenye kona..............unaona mbele kweli??
 

"kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc...."


nime quote tena hicho kipengele hapo juu, mie ndio ninavyo define "kichwa cha nyumba"...na cjasema kwamba hawapo coz hata mie msukuma wangu ni kichwa cha nyumba, wapo sana tu, but "ukichwa wa nyumba" hautengenezwi/huwezi kumfanya/kumtengeneza awe kichwa cha nyumba, hapa ni makuzi/malezi aliyolelewa na kujitambua kama mwanaume na ku2mia uanaume wake kama mwanaume kamili, mwanaume anaejua responsibilities zake kama mwanaume, sasa ukimpata yule ambaye hajui wajibu wake kama mwanaume na ukataka kumtengeneza awe kichwa cha nyumba kuna mawili, anaweza kutengenezeka kama ni muelewa au anaweza kuku2mia kama sio muelewa,nikimaanisha wengine watautumia huo utengebnezaji kujinufaisha...... cjui nimeeleweka?
 
hapo
2naelewana sasa, nilidhani upate yule ambae hajui majukumu yake kama kichwa cha nyumba then utake kumtengeneza awe kichwa cha nyumba.....
 

:busu:busu.....word...yaani umesema ki2 kitamu sana, nakutayarishia mbege ya kuanzia w'end.
 


Dah! mie nilikua natania Mbu... Topic za MJ1 Zimekua ni ngumu sana.
Hivo nakubali tu badala ya kuchangia maana hua naona ni ngumu.
Hio somehow hata mimi lost in translation hasa hayo maneno yana literally
meaning ama yana maana ndani yake. Hivo nakabidhi loba kwa MJ1
 
"kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc...."

I see mbona jamaa amekuficha sana? umepotea sana
Unajua baba hajitambulishi? Ila majukumu ndo yanamtambulisha baba
Haya majukumu ndo yanageuza kuwa baba ndo kichwa cha familia
 
Kama nimempenda mwenyewe na sijalazimishwa na mtu, atakacho yeye ndio faraja yangu, hilo tu la kumpa nafasi yake kama baba mwenye nyumba na kama kichwa sio issue kabisa
 
Kama nimempenda mwenyewe na sijalazimishwa na mtu, atakacho yeye ndio faraja yangu, hilo tu la kumpa nafasi yake kama baba mwenye nyumba na kama kichwa sio issue kabisa
Umepotea weye.
 
Kwa ufahamu wangu ni kuwa mwanaume huvutiwa na mwanamke alie na tabia za kike,na moja ya tabia za kike ni hiyo uliyoitaja kwenye thread yako.Hata huko kwenye "haki sawa" kuna mambo yanabaki kwenye maneno tu hayawezekani kwenye vitendo kwa sababu mwanamke hawezi kuwa mwanaume na mwanaume hawezi kuwa mwanamke na hawa huvutana kutokana na tofauti walizonazo!
 

Hakuna ubaya MJ1 wala kufanya hivyo sikuchanganyikiwa.

 
Last edited by a moderator:
it worth and felt good reading..........kweli kuna wanawake mnajitambua ,mkipata wanaume wanaojitambua mwisho wa hadithi yenu inakuwa ni kale kasentesi katamu ka "........happly after'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…