I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Habari,
Aise mimi kuna mahali nafanya kazi ila sasa kuna mtu nafanya nae kazi ananiambia we kaa hivyo hivyo usihangaike. Sasa huyo anaenimbia hivyo ni mtu alikuwa kitengo kingine akahamishwa akapelekwa kingine chenye nafuu kidogo
Halafu sasa ananiambia kashapewa barua ya kuongezewa mshahara ila sasa usemi wake kila akiniona ofisini ananiambia mdogo wangu karoge, hangaika
Je, naomba kujua kama kuna ushuhuda wa ukweli kuhusu uchawi wa namna hii upo kweli?
Aise mimi kuna mahali nafanya kazi ila sasa kuna mtu nafanya nae kazi ananiambia we kaa hivyo hivyo usihangaike. Sasa huyo anaenimbia hivyo ni mtu alikuwa kitengo kingine akahamishwa akapelekwa kingine chenye nafuu kidogo
Halafu sasa ananiambia kashapewa barua ya kuongezewa mshahara ila sasa usemi wake kila akiniona ofisini ananiambia mdogo wangu karoge, hangaika
Je, naomba kujua kama kuna ushuhuda wa ukweli kuhusu uchawi wa namna hii upo kweli?