Kuna Uchawi au Uganga unaweza kufanya ukaongezwa mshahara au kupandishwa cheo kazini?

Kuna Uchawi au Uganga unaweza kufanya ukaongezwa mshahara au kupandishwa cheo kazini?

Performance ya mtu pamoja na nidhamu ya kazi ndio inampa mtu nafasi ya kukua kazini. Inaelekea huyo rafiki yako anavyo vyote ila sababu anaamini kwenye hizo mambo basi ataona ndio zinamsaidia kumbe juhudi yake binafsi na mapenzi ya Mungu vinatosha
OK!
Swali kwako...?uchawi upo au hakuna

Ova
 
Performance ya mtu pamoja na nidhamu ya kazi ndio inampa mtu nafasi ya kukua kazini. Inaelekea huyo rafiki yako anavyo vyote ila sababu anaamini kwenye hizo mambo basi ataona ndio zinamsaidia kumbe juhudi yake binafsi na mapenzi ya Mungu vinatosha
Jidanganye... jidanganye...jidanganye....Toka nje ya box and you will see what happens with new ideas alongside ndumba
 
Basi maisha yangekua simple sana, watu tusingekubali kupoteza pesa kusomesha watoto wetu wakati kwa mganga mambo supa

Lakini hata hivyo tungeona zile department nyeti zina endeshwa na mabosi waganga ambao wamekubuhu kwa uchawi
Upo town unapaza sauti eti hakuna uchawi, Calm down tembea uone watu wanaroga yani ni hatari
huku kwetu watu wananasa kwenye matawi, kama we ni mwoga man we usiku haulali.
 
Habari,

Aise mimi kuna mahali nafanya kazi ila sasa kuna mtu nafanya nae kazi ananiambia we kaa hivyo hivyo usihangaike. Sasa huyo anaenimbia hivyo ni mtu alikuwa kitengo kingine akahamishwa akapelekwa kingine chenye nafuu kidogo

Halafu sasa ananiambia kashapewa barua ya kuongezewa mshahara ila sasa usemi wake kila akiniona ofisini ananiambia mdogo wangu karoge, hangaika

Je, naomba kujua kama kuna ushuhuda wa ukweli kuhusu uchawi wa namna hii upo kweli?
Fanya kazi kwa bidii, nidham ndo mafanikio yako. uchawi ungekuwa unasaidia wachawi wasio na vyeti wangeajiriwa , wasingefungwa magerezani. Mimi bana nilipata kazi Zanzibar, nilivofika nikaanza kupokea vitisho bila uchawi hapa hukai, wakaanza sijui alikuwepo fulani ikawa hivi, mara hapa utapeperushwa. Mimi kila siku nikawa napiga sala zangu maisha yanaenda, siku moja usiku nikawa natoka kwenye mizunguko yangu ya kawaida, na kwa vile asilimia kadhaa ya staff hasa wale magenerial tunaishi hapo kambini basi nikakuta jamaa wamekaa wanajadili namna ya kwenda kuniroga, na wale ambao wameshaenda kuniroga wakawa wanaleta mrejesho, kuwa jamaa mchawi sana halogeki,
Wakati huo nikawa nawarekodi basi baada ya kuridhika nikaamua nisipitie pale walipokuwa mimi nikapita njia nyingine, baada ya wiki moja hivi nikamutumia mmojawao ile voice note, hapo ndo wakazidi kuchanganyikiwa, mwisho wa siku wakaishia tena kusema kuna mama mmoja rafiki yangu ambaye ni mpemba kuwa yeye ndo ananipeleka kwa waganga, lakini ukweli ni kwamba sijawahi kwenda kwa mganga yeyote.

Wewe kama unataka kufa fukara tegemea wachawi na waganga, atakula kuku na kushia kukwambia umekosea masharti
 
Performance ya mtu pamoja na nidhamu ya kazi ndio inampa mtu nafasi ya kukua kazini. Inaelekea huyo rafiki yako anavyo vyote ila sababu anaamini kwenye hizo mambo basi ataona ndio zinamsaidia kumbe juhudi yake binafsi na mapenzi ya Mungu vinatosha
Labda kwenye kampuni ya wazungu.
Lkn serikalini my friend, ukijitia mchapa kazi halafu una lafudhi Kama ya Massawe. Imekula kwako. Uhamisho wa Sumbawanga, Kigoma na Bukoba unakuhusu.
Nakumbuka Kuna kipindi niliambiwa nichague Kati ya Mara, Kagera, Lindi na Rukwa.
Nilirudi nyumbani kufikiria Ni mkoa gani nichague, niliporudi jumaatatu nilikuta yule HR amelazwa KCMC. Azliporudi alinikuta nimeshaaza kazi Dar es Salaam.
 
Upo town unapaza sauti eti hakuna uchawi, Calm down tembea uone watu wanaroga yani ni hatari
huku kwetu watu wananasa kwenye matawi, kama we ni mwoga man we usiku haulali.
Hakuna uchawi, kama upo thibitisha
 
Kuna jamaa angu alikua anampenda demu flani......akaenda kwa mganga flani sijui alimjulia wapi na nilimsindikiza mim mwenyew.....siku hyo tumetoka tu kwa mganga .......ilikua usiku......asubuh ghafla jamaa anagongewa mlango na demu........
Akamuomba jamaa watoke nje waongee.......bwana wee....si demu akaanza kujieleza kiasi gani anampenda kishenzi na usiku huo hajalala kumuwaza tu mshkaji......jamaa nae ili kulevel Mambo akamwambia tu demu kwamba nae ni kitambo anampenda demu ila alikua anashindwa tu kumwambia.........

Wakaanza mahusiano...
Hiyo ilikua 2012.....mwaka 2016 walioana na sa hv ni wanandoa na watoto wawili.....

Huwa najiuliza maswali mengi Sanaa kwnye hili nililolishuhudia na majibu sipati
 
Kuna jamaa angu alikua anampenda demu flani......akaenda kwa mganga flani sijui alimjulia wapi na nilimsindikiza mim mwenyew.....siku hyo tumetoka tu kwa mganga .......ilikua usiku......asubuh ghafla jamaa anagongewa mlango na demu........
Akamuomba jamaa watoke nje waongee.......bwana wee....si demu akaanza kujieleza kiasi gani anampenda kishenzi na usiku huo hajalala kumuwaza tu mshkaji......jamaa nae ili kulevel Mambo akamwambia tu demu kwamba nae ni kitambo anampenda demu ila alikua anashindwa tu kumwambia.........

Wakaanza mahusiano...
Hiyo ilikua 2012.....mwaka 2016 walioana na sa hv ni wanandoa na watoto wawili.....

Huwa najiuliza maswali mengi Sanaa kwnye hili nililolishuhudia na majibu sipati
hiyo ndio ndumba nangai mkuu mabaharia peke yake ndo wanaweza
 
nenda mueda kijij cha mueda wiakaya ya namaquia kwa mzee lupatu
 
Back
Top Bottom