Jamani zile za makonda na machinga huwa zinanitoa amani....kama ni mume wa mtu I will use him for my advantage halafu nasepa.
Acha ubaguzi Madamex hata hawa ni binadamu kama wengine nao wanahitaji kupendwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani zile za makonda na machinga huwa zinanitoa amani....kama ni mume wa mtu I will use him for my advantage halafu nasepa.
mmmh mi sijui
raha ya kutongozwa inategemea na mtongozaji bwana......
sio unatongozwa na waume za watu.makonda,watoto wadogo ... wacongo....mapadre ufurahie...
mimi kwangu inategemea ananitongoza nani....
kiukweli kuna magroup huwa sipendi wanitongoze especially waume za watu ...kweli nachukia tongozo zao toka moyoni kabisa
huwa naumwa kabisa ...kabisa...