mmmh mi sijui
raha ya kutongozwa inategemea na mtongozaji bwana......
sio unatongozwa na waume za watu.makonda,watoto wadogo ... wacongo....mapadre ufurahie...
mimi kwangu inategemea ananitongoza nani....
kiukweli kuna magroup huwa sipendi wanitongoze especially waume za watu ...kweli nachukia tongozo zao toka moyoni kabisa
huwa naumwa kabisa ...kabisa...