Kuna Uhalali au ulazima kwa kampuni za simu kutoa namba za simu za mtumba (zilizotumika na watu wengine walio hai au kufa)?

Kuna Uhalali au ulazima kwa kampuni za simu kutoa namba za simu za mtumba (zilizotumika na watu wengine walio hai au kufa)?

Wasalaam wana JF

Nilikua nachangia kwenye uzi mmoja uliokua unajadili ulazima wa kuhifadhi number za simu za marehemu, nikawaza kwa maandishi, JE KUNA SABABU GANI YA KAMPUNI ZA SIMU KUTOA NAMBA ZA SIMU ZA MTUMBA?

Kwangu mimi, kumiliki number ya simu ya mtumba (iliyotumiwa na mtu mwingine aliye hai au aliyekufa) inaweza kukuweka kwenye mazingira yasiyo rafiki.

Nawaza tu, mathalani huyo mtu alikua ni kicheche au mkopaji sugu, unaweza ukapigiwa simu kibao na michepuko yake au wadai.

Nadhani kampuni za simu ziliangalie hili katika mapana yake. Kuna hesabu za probability tulifundishwa kwamba kwa idadi ya number tulizonanzo kwenye number zetu za simu, wanaweza wakaendelea kutoa number bila ya kurudia kwa miaka 100

Ikishindikana watuambie wateja kwamba hizi ni number mpya na hizi ni za mtumba (yaani zimetumika) ili mteja aweze kufanya an informed decision

Kama unabisha andamana
Ni makosa makubwa.
Namba ya simu ingechukuliwa kama ilivyo Namba ya nida siyo inabadilishwa kama chupi ya mtumba mwaka huu kavaa mchina miezi sita baadaye anayo mzaramo wa msanga ngongele.
 
Wasalaam wana JF

Nilikua nachangia kwenye uzi mmoja uliokua unajadili ulazima wa kuhifadhi number za simu za marehemu, nikawaza kwa maandishi, JE KUNA SABABU GANI YA KAMPUNI ZA SIMU KUTOA NAMBA ZA SIMU ZA MTUMBA?

Kwangu mimi, kumiliki number ya simu ya mtumba (iliyotumiwa na mtu mwingine aliye hai au aliyekufa) inaweza kukuweka kwenye mazingira yasiyo rafiki.

Nawaza tu, mathalani huyo mtu alikua ni kicheche au mkopaji sugu, unaweza ukapigiwa simu kibao na michepuko yake au wadai.

Nadhani kampuni za simu ziliangalie hili katika mapana yake. Kuna hesabu za probability tulifundishwa kwamba kwa idadi ya number tulizonanzo kwenye number zetu za simu, wanaweza wakaendelea kutoa number bila ya kurudia kwa miaka 100

Ikishindikana watuambie wateja kwamba hizi ni number mpya na hizi ni za mtumba (yaani zimetumika) ili mteja aweze kufanya an informed decision

Kama unabisha andamana
Mi yangu niliipoteza nikataka kuirudisha nashangaa!Kapewa mchina!
 
Unajua kuna kipindi TCRA walitaka kuja na mfumo wa Number managment portability (NMP).
Hii ilikuwa inatakiwa kuwa mtu anakuwa na umiliki halali wa laini yake, kwa maana kwamba unaweza kutoka mtandao mmoja ukahamia mtandao mwingine kwa kutumia laini hiyo hiyo.

hili wazo lilikuwaga zuri na ingesaidia sana endapo mtu asingefurahishwa na huduma za mtandao fulani basi anahamia mtandao mwingine bila kupoteza majina ya watu wake.

Sijui mpango ule uliishia wapi, ila kuna nchi wana hizi mifumo, na kuhusu laini yako kupewa mtu mwingine nilishawahi sikia kwamba ni bora watumie line hizo kuliko kuandaa zingine sababu ya gharama.
Shida tupo vizuri sana kwenye mikakati njoo utekelezaji ni aibu.
Uko wapi mfumo wa tiketi mtandao?
Ukiingia unakuta kampuni kadhaa zimeweka mabasi yao wengine hawaweki.
Mtu ukitaka kusafiri mpaka uanze kutafuta tiketi kwenye mfumo wa basi binafsi. Wakati lile wazo lilikuwa zuri, serikali ingefanya monitoring ikalipwa kusimamia mfumo na kampuni zote zikafanya kazi kisheria bila kuibia abiria.
Na bado kampuni zingine hazitumii mfumo wa electronics kabisa iwe tiketi ama mfumo hawana. Ukiwauliza majibu mepesi kabisa na wasimamizi wapo.
Inahuzunisha sana.
 
Kwanini wasiziondoe tu kwenye
Kuna siku tulikuwa kwenye semina, wahusika walituambia kuwa hizi namba wao huwa wanalipia kwa mamlaka zinazohusika.
Kwa hiyo mtu akiacha kutumia kwa miezi kadhaa mchakato wote wa kuiingiza sokoni hiyo namba kwa mteja mpya huanza.
Badala ya kutengeneza namba mpya na kuongeza idadi ya gharama za kulipia wanaamua kuziingiza sokoni tena zile ambazo hazitumiki kwa muda mrefu.
system?
 
Mimi kuna number nilipoteza aisee watakae mpa na mhurumia, ina deni la nipige tafu 10k.. Songesha 70k so atajuta.
 
Wasalaam wana JF

Nilikua nachangia kwenye uzi mmoja uliokua unajadili ulazima wa kuhifadhi number za simu za marehemu, nikawaza kwa maandishi, JE KUNA SABABU GANI YA KAMPUNI ZA SIMU KUTOA NAMBA ZA SIMU ZA MTUMBA?

Kwangu mimi, kumiliki number ya simu ya mtumba (iliyotumiwa na mtu mwingine aliye hai au aliyekufa) inaweza kukuweka kwenye mazingira yasiyo rafiki.

Nawaza tu, mathalani huyo mtu alikua ni kicheche au mkopaji sugu, unaweza ukapigiwa simu kibao na michepuko yake au wadai.

Nadhani kampuni za simu ziliangalie hili katika mapana yake. Kuna hesabu za probability tulifundishwa kwamba kwa idadi ya number tulizonanzo kwenye number zetu za simu, wanaweza wakaendelea kutoa number bila ya kurudia kwa miaka 100

Ikishindikana watuambie wateja kwamba hizi ni number mpya na hizi ni za mtumba (yaani zimetumika) ili mteja aweze kufanya an informed decision

Kama unabisha andamana
Hawaruhusiwi
 
Wala usihofu mpendwa! Kila kitu kinaenda katika mizania ya haki! Mpendwa ebu nikujibu kikristo! Mitandao ya simu inarejesha kwa usajili mpya kama line ya simu itakuwa dormant kwa kipindi cha mwaka mmoja! Kisheria katika mizania ya haki mmiliki wa hiyo line anakuwa amepoteza sifa ya uhalali wa umiliki wa line asipoitumia kwa kipindi cha mwaka mmoja! Ukipewa ukaisajili kwa namba mpya na jina la NIDA kuanzia hapo ni mali halali yako! Makampuni ya simu lazima yafanyehivyo vinginevyo namba zitaisha. Kwa mfano: namba ya utambulisho wa mtandao husika ni namba nne za mwanzo yaani "0712" zinazofuatia ni jumla ya namba 6. Hizi namba sita unaweza kuzipanga bila kujirudia 9x9x9x9x9x9=531,441.
Kwahiyo namba moja ukiiondoa kwenye matumizi kwasababu eti mtumiaji ana rekodi mbaya inakuwa ni hasara kwa kampuni na mwisho wa siku wataishiwa na namba. Hivyo namba isipotumika lazima apewe mtumiaji mpya na maisha yaendelee
Nasema'ivii, hiyo calculation ni ya uongo.

Je nchi zenye raia wengi kama mchwa wanaozidi billion, wanadhibitiwa kumiliki #za simu?

Halafu namba anayonyang'anywa mtu kwanini iwe tamu sana kuuzika sokoni wakati kuna mrundikano wa line mpya kwa vendor hazina hata wa kuzinunua?
 
Back
Top Bottom