Kuna uhuni Mkubwa, Dawa ya kumsaidia mtu kuacha kupiga Punyeto? imekaaje?

Kuna uhuni Mkubwa, Dawa ya kumsaidia mtu kuacha kupiga Punyeto? imekaaje?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wale jamaa wanaojichukulia sheria mkononi, wanaopenda kucheza Pool. wanaopiga punyeto. kuna dawa eti inazuia mtu asifanye hilo jambo. maswali yangu
1. Punyeto ni ugonjwa gani?
2. Nini kinasababisha mtu aoige punyeto?
3. Inaenda kutibu nini hiyo dawa?

Kuna wauzaji wa dawa hizi za supplement wana kuwa na uongo uongo mwingi sana. ukiwauliza hayo maswali wanakosa majibu. Kuna ambao wanajitambulisha kuwa ni Daktar Ngunde. Ukimuuliza una cheti cha udaktari anasema amesomea online au amesoma soma sasa anaufahamu. anatoa ushauri wa kitaalamu kwa utaalamu wa hapa na pale. hii ni hatari sana.
 
Punyeto limeokoa wengi na magonjwa yasio ya lazima. Lkn pia limesaidia vijana kuokoa fedha nyingi za kuhonga, gesti na kutuma nauli.
Punyeto limesaidia vijana kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani hata awe Korea kaskazini. Unamleta kwenye hisia fasta unamshughulikia.
 
Back
Top Bottom