Kuna uhusiano gani kati Wanawake wembamba na tabia ya hivi, mdomo, roho na mbaya

Kuna uhusiano gani kati Wanawake wembamba na tabia ya hivi, mdomo, roho na mbaya

Ila kama kuna ka ukweli furani mm niliwahi kua na mchepuko mwembamba akiomba kitu mpe sio uanze sound yaaan alikua anaandika sms km barua lakini kabla hujamaliza kusona inaingia nyingine dah!!!Sema ni vitam sana maana kitu kinaaingia ndani huko harafu ukute kanajua na kufinya kwa ndani 🤣🤣🤣
 
Dahhh....
Umenikumbusha mbali sana mkuu, yaani nilisha wahi kukiacha kile kidada sababu ya kuongea sana, chembamba..... hakisikii, kipereto..... hata kikiamka katikati ya usiku kinaanza tu kulalamika kwanini nilisimama kwa muuza matunda....khaaaaa
 
Kweli na dada yangu mmoja mwembamba huyo(mtoto wa shangazi) tukiwa wadogo siku moja wazazi waliondoka wote akabaki yeye ndo mkubwa nyumbani akafungia mfuko mzima wa sukari chumbani kwakwe akasema tuchemshe mchaichai tunywe bila sukari akawa anadai eti tunatumia vibaya sukari.

Japokua ni dada yetu tukajadiliana mimi na bro wangu mmoja ikabidi tumtembezee kichapo tukampora ufunguo tukaenda kuchukua sukari hadi leo sisahau lile tukio.
 
Kwema Wakuu!

Bado nafanya utafiti nipate uhakika wa moja kwa moja lakini mpaka sasa majibu yangu yanamuelekeo wa asilimia kubwa inayozidi 80% ya wanawake wembamba kuwa na tabia ya gubu, mdomo na roho mbaya.

Hii ni tofauti na wanawake Wanene. Ni nadra sana kumkuta Mwanamke mnene kuwa na gubu, mdomo na roho mbaya.

Kuna uhusiano gani?
Zingatia, sio wanawake wote wembamba wana gubu, mdomo na roho mbaya ila wengi wao wapo hivyo.
Alafu ukute mwembamba asiye na gubu, mdomo na roho mbaya lazima awe smart kuanzia akili za shuleni na akili za maisha.


Karibuni kwa mjadala
😂😂😂😂 aisee
 
Mwembamba ama munene wote ni mudomo mudomo na roho mbaya ndio tabia zao
 
Ulalamishi ni numeri Ek! Wivu nambari Mbighi. Uchoyo nambari tatu yani vinakeraa japo ni tutamu sana kwenye 6*6
 
Wanarohombaya Kwasababu Ile nafasi ya kutoka kwenye Moyo hadi kwenye nyongo iko wazi na kavu, haijazibwa na mafuta kama wanawake wanene🤣🤣🤣🤣
Sasa umkute mwembamba halafu mfupi🤣🤣🤣🤣 Yani Moyo na nyongo vipo karibukaribu......🤣🤣🤣🤣🤣utaipenda.
 
Back
Top Bottom