Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Wanarohombaya Kwasababu Ile nafasi ya kutoka kwenye Moyo hadi kwenye nyongo iko wazi na kavu, haijazibwa na mafuta kama wanawake wanene🤣🤣🤣🤣
Sasa umkute mwembamba halafu mfupi🤣🤣🤣🤣 Yani Moyo na nyongo vipo karibukaribu......🤣🤣🤣🤣🤣utaipenda.
Majibu ya kisayansi haya au 😀😀
Ngoja nithibitishe DR Mambo Jambo