Kuna uhusiano gani kati Wanawake wembamba na tabia ya hivi, mdomo, roho na mbaya

Kuna uhusiano gani kati Wanawake wembamba na tabia ya hivi, mdomo, roho na mbaya

Wanarohombaya Kwasababu Ile nafasi ya kutoka kwenye Moyo hadi kwenye nyongo iko wazi na kavu, haijazibwa na mafuta kama wanawake wanene🤣🤣🤣🤣
Sasa umkute mwembamba halafu mfupi🤣🤣🤣🤣 Yani Moyo na nyongo vipo karibukaribu......🤣🤣🤣🤣🤣utaipenda.

Majibu ya kisayansi haya au 😀😀
Ngoja nithibitishe DR Mambo Jambo
 
Kwema Wakuu!

Bado nafanya utafiti nipate uhakika wa moja kwa moja lakini mpaka sasa majibu yangu yanamuelekeo wa asilimia kubwa inayozidi 80% ya wanawake wembamba kuwa na tabia ya gubu, mdomo na roho mbaya.

Hii ni tofauti na wanawake Wanene. Ni nadra sana kumkuta Mwanamke mnene kuwa na gubu, mdomo na roho mbaya.

Kuna uhusiano gani?
Zingatia, sio wanawake wote wembamba wana gubu, mdomo na roho mbaya ila wengi wao wapo hivyo.
Alafu ukute mwembamba asiye na gubu, mdomo na roho mbaya lazima awe smart kuanzia akili za shuleni na akili za maisha.


Karibuni kwa mjadala
Mnene ni uvivu tu unamrudisha nyuma
Akikonda anakuwa kama huyo mwembamba
 
Kwema Wakuu!

Bado nafanya utafiti nipate uhakika wa moja kwa moja lakini mpaka sasa majibu yangu yanamuelekeo wa asilimia kubwa inayozidi 80% ya wanawake wembamba kuwa na tabia ya gubu, mdomo na roho mbaya.

Hii ni tofauti na wanawake Wanene. Ni nadra sana kumkuta Mwanamke mnene kuwa na gubu, mdomo na roho mbaya.

Kuna uhusiano gani?
Zingatia, sio wanawake wote wembamba wana gubu, mdomo na roho mbaya ila wengi wao wapo hivyo.
Alafu ukute mwembamba asiye na gubu, mdomo na roho mbaya lazima awe smart kuanzia akili za shuleni na akili za maisha.


Karibuni kwa mjadala
Dada zako na Bi.Mkubwa wako wana tabia za aje?
 
Nadhani ni issue za Hormonal imbalance vidada vyembamba vina hii shida na hivitaki kushaurika , vinasigina tu meno 😆vinakazana ndo vilivyo. Unaweza kuta unakieleza mrembo hapa tufanye hivi ili uondokane na hii hali ya makasiriko na visirani 😆😆 mnuno wa hapo manina kama huvijui utasema huna bahati na mapenzi !! Vyenyewe jibu kuu ni unipende nilivyo au utafute msichana mwingine.

Vina mambo lukuki
Low libido ,Siku zake kutoeleweka (irregular) , dry skin , vaginal dryness na hofu na msongo , na vingine vinakua na mwili baridi hasa kwenye mikono na miguu , na nyingine japo sio kwa wote vina breast tenderness.

Hizi dalili mrembo ukiziona na baby dady wako au msela wako akawa anatamani jinsi ya kupata suluhisho jiongeze sio kukalisha hivyo vitako chini umekazana eti ndo ulivyo kumbe waweza saidika.
Sio wote wembamba mna shida msinipopoe ila wengi wenu mko hivyo !
 
Umenifanya nivute picha ya wanawake ninaowajua kwenye cycle yangu. Utafiti wako kama una kaukweli vile. Japokuwa ku-date na mwanamke kibonge siwezi napendelea awe size ya kati mfano lulu wa majizo
 
Umenifanya nivute picha ya wanawake ninaowajua kwenye cycle yangu. Utafiti wako kama una kaukweli vile. Japokuwa ku-date na mwanamke kibonge siwezi napendelea awe size ya kati mfano lulu wa majizo
Vipi ushakutana nae au bado watu wa connection wakusetie
 
wanawake wanene wengi huwa ni watu poa sana hata kwenye customer care kwa wateja.
 
Back
Top Bottom