Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Wanarohombaya Kwasababu Ile nafasi ya kutoka kwenye Moyo hadi kwenye nyongo iko wazi na kavu, haijazibwa na mafuta kama wanawake wanene🤣🤣🤣🤣
Sasa umkute mwembamba halafu mfupi🤣🤣🤣🤣 Yani Moyo na nyongo vipo karibukaribu......🤣🤣🤣🤣🤣utaipenda.
🤣🤣🤣🤣Majibu ya kisayansi haya au 😀😀
Ngoja nithibitishe DR Mambo Jambo
Mnene ni uvivu tu unamrudisha nyumaKwema Wakuu!
Bado nafanya utafiti nipate uhakika wa moja kwa moja lakini mpaka sasa majibu yangu yanamuelekeo wa asilimia kubwa inayozidi 80% ya wanawake wembamba kuwa na tabia ya gubu, mdomo na roho mbaya.
Hii ni tofauti na wanawake Wanene. Ni nadra sana kumkuta Mwanamke mnene kuwa na gubu, mdomo na roho mbaya.
Kuna uhusiano gani?
Zingatia, sio wanawake wote wembamba wana gubu, mdomo na roho mbaya ila wengi wao wapo hivyo.
Alafu ukute mwembamba asiye na gubu, mdomo na roho mbaya lazima awe smart kuanzia akili za shuleni na akili za maisha.
Karibuni kwa mjadala
Dada zako na Bi.Mkubwa wako wana tabia za aje?Kwema Wakuu!
Bado nafanya utafiti nipate uhakika wa moja kwa moja lakini mpaka sasa majibu yangu yanamuelekeo wa asilimia kubwa inayozidi 80% ya wanawake wembamba kuwa na tabia ya gubu, mdomo na roho mbaya.
Hii ni tofauti na wanawake Wanene. Ni nadra sana kumkuta Mwanamke mnene kuwa na gubu, mdomo na roho mbaya.
Kuna uhusiano gani?
Zingatia, sio wanawake wote wembamba wana gubu, mdomo na roho mbaya ila wengi wao wapo hivyo.
Alafu ukute mwembamba asiye na gubu, mdomo na roho mbaya lazima awe smart kuanzia akili za shuleni na akili za maisha.
Karibuni kwa mjadala
🤣🤣🤣🤣
Kwajyo wanamsema Proffesor Janabi
Vile Asha Boko ni kimbaumbau au.Hizi fito zina mdomo sana. MwaNamama munene hana room ya kelele kajaa minyama tele
Vipi ushakutana nae au bado watu wa connection wakusetieUmenifanya nivute picha ya wanawake ninaowajua kwenye cycle yangu. Utafiti wako kama una kaukweli vile. Japokuwa ku-date na mwanamke kibonge siwezi napendelea awe size ya kati mfano lulu wa majizo
Umenifanya nivute picha ya wanawake ninaowajua kwenye cycle yangu. Utafiti wako kama una kaukweli vile. Japokuwa ku-date na mwanamke kibonge siwezi napendelea awe size ya kati mfano lulu wa majizo