Kuna uhusiano gani kati ya biashara na paka?

Kuna uhusiano gani kati ya biashara na paka?

Hao ndo chuma ulete mkuu. hao kwa macho ya nyama utaona ni paka ila kiuhalisia(imani) si paka bali ni wafanya kazi wa duka husika.
Kama huamini nenda Singida mjini kaone kwenye maduka.
Biashara zina mambo mengi sana ili ziweze kusonga mbele na waliosomea biashara darasani kwa bahati mbaya sana hawafundishwi kwenye topic zao kuhusu uhalisia.
 
Wachawi utumia paka kama chuma ulete kuchukua pesa dukani ,paka anatumwa kimazingara wewe kama haupo vizuri huwezi muona lakini huyo paka anakuwa ni paka mtu,muuza duka unaweza mtumia paka wa ukweli kumzibiti paka wa kichawi na kuzuia kuibiwa hela kimiujiza watu wa Tanga tunaita kukoperwa.

Hizi habari nilishuhudia kule TANGA maeneo ya Kwa Mkono miaka ya nyuma sana.

Pia Paka ukamata panya ambao ni waaribifu wa bidhaa.
 
Back
Top Bottom