Kuna uhusiano gani kati ya mkojo na mimba?

Kuna uhusiano gani kati ya mkojo na mimba?

Well mkuu ,, mwanamke akipata mimba ,,mwili wake huzalisha hormone inayoitwa human chorionic gonadotropin ( HCG) ,,homon hii humwaga ndani ya damu na mkojo.. Ndo maana mimba hupimwa kwa damu au mkoji.


Sasa mwanamke akishapata mimba ndani ya siku kumi tayari hii homon inaweza kutambuliwa ........Namkojo uhakika wake ni 97%.
 
mkuu maelezo yako ni sahihi but sio hiyo hormone ya lutenizing hormon but ni Gonatrophine hormone ndio huwa inapatikana kwenye mkoja ndio huwaga relised kwenye damu then kwenye mzunguko wa damu ambako huenda kuchujwa kwenye kibofu cha mkoja na kutolewa kama taka mwil na hii hormone huwa inatokea baada ya yai kurutubishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maelezo ni sawa, Ila haichujwi kwenye kibofu cha mkojo, huchujwa kwenye figo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WELL MKUU ,, MWANAMKE AKIPATA MIMBA ,,MWILI WAKE HUZALISHA HORMONE INAYOITWA HUMAN CHORIONIC GONADOTROPIN ( HCG) ,,HOMON HII HUMWAGA NDANI YA DAMU NA MKOJO.. NDO MAANA MIMBA HUPIMWA KWA DAMU AU MKOJI.


SASA MWANAMKE AKISHAPATA MIMBA NDANI YA SIKU KUMI TAYARI HII HOMON INAWEZA KUTAMBULIWA ........namkojo uhakika wake ni 97%.

Shukrani Kwa somo mkuu
 
Mtaalam nikusahihishe kidogo

By the way baada ya uchavushaji (fertilization) kutokea kati ya mbegu ya kike na kiume katika mirija ya uzazi ya fallopian baada ya zoezi ilo kuna kiumbe kinakua
kimetengenezwa na kupelekea kutengeneza kwa kitu kinachoitwa placenta ambayo kazi yake ni kama daraja kati ya mama na mtoto ambayo hutumika kusafirisha hewa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na pia mtoto kwenda kwa mama,,,,

pia kusafirisha uchafu kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama,,na shuguli nyingine... ivyo sasa
baada ya kuundwa ilo daraja sasa huzalisha kitu kinaitwa human chorionic gonadotrophin (hcg) ambayo hii ni hormone yenye kazi ya KUUANDAA UKUTA WA UZAZI KWA AJILI YA UPANDIKIZAJI WA KILE KILICHOPATIKANA BAADA YA UCHAVUSHAJI( fertilization) sasa hormoni hii (hcg ) hupatikana wiki moja na kuendelea kwenye mkojo wa mama
na ndo maana Hospitalini kama mama hajaona siku zake kitaalamu tunaita (amenorrhea) bas lazima hatua ya kwanza upime mkojo kipimo kinachoitwa Urinary pregnancy test (UPT) kwa ajili ya kuangalia uwepo wa iyo hormoni alafu mambo mengine yanafuata!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkojo hautoki kwenye tundu la kufanyia ngono.
Wanawake tuna matundu matatu; urethra la mkojo,vagina la ngono,menstrual na kuzaa
Na anus la haja kubwa
matundu matatu!?
urethra,vagina,menstrual!!?

hahahaha aunty inabid ujichunguze kwa kweli kesho kuna binti atakuuliza utamwela ivo hahahha sayansi yako inabidi nikaifanyie kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
matundu matatu!?
urethra,vagina,menstrual!!?

hahahaha aunty inabid ujichunguze kwa kweli kesho kuna binti atakuuliza utamwela ivo hahahha sayansi yako inabidi nikaifanyie kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ivyo..anatomy hiyo.
Minvokuwa mdogo mwenyewe nlijua mkojo unatoka kwenye vagina.

Yani wanaume wana urethral opening kwenye penis zao ila wanawake wana urethral opening juu kidogo ya vagina kwa hiyo hata mwanamke akikojoa,ule mkojo unasambaa mpaka kwenye vagina anakuwa anahisi kama mkojo unatoka kwenye vagina.
 
umejibu kidaktari mkuu safi sana na mara nyingi huanza kuzalishwa week 2 baada ya kijusi kutungwa....
Nafikiri haya ndiyo majibu sahihi kabisa
Kuna kitu kinaitwa hcg(human chorionic gonadotropin hormone)ambayo inazalishwa na placenta(kondo la nyuma)kipindi cha ujauzito,hormone hiyo yaweza patikana kwenye damu ama mkojo(kama taka mwili)
 
Kuna kitu kinaitwa hcg(human chorionic gonadotropin hormone)ambayo inazalishwa na placenta(kondo la nyuma)kipindi cha ujauzito,hormone hiyo yaweza patikana kwenye damu ama mkojo(kama taka mwili)
Ina zalishwa na placenta..!? Means wanaume hawana..!? je mtu asipokuwa kwnye kipndi cha ujauzito Hcg huwezi i detect kwnye sirum..!??
 
Back
Top Bottom