Kuna uhusiano kati ya umasikini, ujinga na kelele?

Kuna uhusiano kati ya umasikini, ujinga na kelele?

Storywriter

Senior Member
Joined
Jan 8, 2023
Posts
175
Reaction score
389
1. Kwanini kwenye usafiri wa ndege huwa hawapigi mziki mkubwa kama alivyo kwenye basi? Halafu angalia aina ya watu wanaopanda basi na wale wanaopanda ndege.

2. Kwanini maeneo kama Masaki, Upanga na Osterbay hayana kelele, ukilinganisha na Bugurini, Mwananyamala n.k, halafu angalia aina ya watu wanoishi katika naeneo hayo.

3. Kwanini sehemu za starehe za watu ambao ni high profile huwa hazina mziki mkubwa ukilinganisha na zile za makabwela?

Kwanini vyumba za kupanga huwa zina kelele ya mziki mkubwa, tofauti na nyumba ambazo wanaishi wamiliki wa hizo nyumba.

Swala hili limenisumbua sana naomba maoni na mtazamo wenu.
 
Maskini hata ukimuangalia bila ya kuongea unahisi kabisa anapiga kelele.

Kelele zipo ndio maana hata motoni kuna kelele (Inavyosemekana).

Kelele zinaambatana hata na dini fatilia makanisa yanayojielewa utaona utofauti.
 
Kuna ukweli. Pesa inaleta ustaarabu na faraja.

Ukiwa huna pesa utatafuta jinsi ya kupata faraja kwa njia nyingine.

Na mimi niulize kwanini makanisa ya kilokole yana kelele sana? Au jibu ndilo halo hapo...

Tazama hata leo mechi ya yanga matokeo ya kuingia bure kimetokea nini...

Watu wenye vipato duni tuna vurugu nyingi sana na ulimbukeni.
 
Ukistaarabika na ukiwa umekulia katika maadili mema huwezi kuwa mtu wa fujo fujo na makelele
Na ni kweli masikini wanapiga kelele na kupenda kelele wakiona ni kujifariji kwa kuondoa mawazo ya umasikini

Hata unaowaona wanatetea huo ujinga utalikuta nalo limekulia kwenye kelele na dhiki tu
 
1. Kwanini kwenye usafiri wa denge huwa hawapigi mziki mkubwa kama alivyo kwenye basi?, halafu angalia aina ya watu wanaopanda basi na wale wanaopanda ndege.

2. Kwa nini maeneo kama Masaki, upanga na Osterbay hayana kelele , ukilinganisha na Bugurini, Mwananyamala n.k, halafu angalia aina ya watu wanoishi katika naeneo hayo.

3. Kwa nini sehemu za starehe za watu ambao ni high profile huwa hazina mziki mkubwa ukilinganisha na zile za makabwela?

Kwa nini vyumba za kupanga huwa zina kelele ya mziki mkubwa, tofauti na nyumba ambazo wanaishi wamiliki wa hizo nyumba.

Swala hili limenisumbua sana naomba maoni na mtazamo wenu.
Ww hujui sisi kina nani tujue
 
1. Kwanini kwenye usafiri wa ndege huwa hawapigi mziki mkubwa kama alivyo kwenye basi?, halafu angalia aina ya watu wanaopanda basi na wale wanaopanda ndege.

2. Kwa nini maeneo kama Masaki, upanga na Osterbay hayana kelele , ukilinganisha na Bugurini, Mwananyamala n.k, halafu angalia aina ya watu wanoishi katika naeneo hayo.

3. Kwa nini sehemu za starehe za watu ambao ni high profile huwa hazina mziki mkubwa ukilinganisha na zile za makabwela?

Kwa nini vyumba za kupanga huwa zina kelele ya mziki mkubwa, tofauti na nyumba ambazo wanaishi wamiliki wa hizo nyumba.

Swala hili limenisumbua sana naomba maoni na mtazamo wenu.
Umasikini, ujinga na kelele ni dalili za matatizo ya Afya ya Akili....huko kwingine hawana tatizo la Afya ya Kili....
 
Tahadhari, tutofautishe kati ya vibe/mzuka/shangwe na kelele. Sehemu yenye shangwe hupunguza msongo wa mawazo
 
Umaskini, ujinga na maradhi ni ndugu wa karibu ambapo kelele ni kama binamu yao. Kwenye umaskini lazima kuwepo na wajinga wapiga makelele. Hata huku uswahilini kuna familia zilizoenda shule zinajidhibiti sana kwenye ishu ya makelele ya hovyo.
 
1. Kwanini kwenye usafiri wa ndege huwa hawapigi mziki mkubwa kama alivyo kwenye basi?, halafu angalia aina ya watu wanaopanda basi na wale wanaopanda ndege.

2. Kwa nini maeneo kama Masaki, upanga na Osterbay hayana kelele , ukilinganisha na Bugurini, Mwananyamala n.k, halafu angalia aina ya watu wanoishi katika naeneo hayo.

3. Kwa nini sehemu za starehe za watu ambao ni high profile huwa hazina mziki mkubwa ukilinganisha na zile za makabwela?

Kwa nini vyumba za kupanga huwa zina kelele ya mziki mkubwa, tofauti na nyumba ambazo wanaishi wamiliki wa hizo nyumba.

Swala hili limenisumbua sana naomba maoni na mtazamo wenu.
Watu wanaomiriki IST,Forester,ndio wanaoweka exhaust ipige makelele,umeishawahi kuona V8,au bmw imewekwa exhaust pipe linalopiga kelele?
Maskini,kinachowapa aueni ni makelele,akili inakuwa imeathirika,haoni tabu kupayuka!!matajiri ni wasomi,wanataka utulivu watafakari mambo ya Dunia,na jinsi ya kuitawala na kupata ukwasi,,maskini anawaza ngono,kula,umbea,anakua na hasira,
Panda shabiby kutoka Dom kuja dar,kwa 35K,au 28K,harafu siku nyingine panda mkweche wa 18K,au 22K,uone tofauti,
 
Watu wanaomiriki IST,Forester,ndio wanaoweka exhaust ipige makelele,umeishawahi kuona V8,au bmw imewekwa exhaust pipe linalopiga kelele?
Maskini,kinachowapa aueni ni makelele,akili inakuwa imeathirika,haoni tabu kupayuka!!matajiri ni wasomi,wanataka utulivu watafakari mambo ya Dunia,na jinsi ya kuitawala na kupata ukwasi,,maskini anawaza ngono,kula,umbea,anakua na hasira,
Panda shabiby kutoka Dom kuja dar,kwa 35K,au 28K,harafu siku nyingine panda mkweche wa 18K,au 22K,uone tofauti,
Asante mkuu.
 
Kuna jamaa yangu anaishi Tandika amepdnga chumba kwenye nyumba yenye vyumba kama 12 hivi.

Nilienda kumtembelea J2 moja. Kuingia tu kwenye corridor ya ile nyumba ni kama umeingia club. Kila chumba wamefungulia muziki full blast tena nyimbo tofauti tofauti. Mwenye mchiriku, mnanda, taarab, bongo fleva.
Jamaa anakwambia hiyo ni kawaida siku za weekend.
 
Kuna jamaa yangu anaishi Tandika amepdnga chumba kwenye nyumba yenye vyumba kama 12 hivi.

Nilienda kumtembelea J2 moja. Kuingia tu kwenye corridor ya ile nyumba ni kama umeingia club. Kila chumba wamefungulia muziki full blast tena nyimbo tofauti tofauti. Mwenye mchiriku, mnanda, taarab, bongo fleva.
Jamaa anakwambia hiyo ni kawaida siku za weekend.
Du!
 
Kuna jamaa yangu anaishi Tandika amepdnga chumba kwenye nyumba yenye vyumba kama 12 hivi.

Nilienda kumtembelea J2 moja. Kuingia tu kwenye corridor ya ile nyumba ni kama umeingia club. Kila chumba wamefungulia muziki full blast tena nyimbo tofauti tofauti. Mwenye mchiriku, mnanda, taarab, bongo fleva.
Jamaa anakwambia hiyo ni kawaida siku za weekend.
Hatari na nusu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom