matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Nimejiuliza kwa nini yale mapepo kwenye Biblia yaliomba yakaingilie nguruwe ambao walikuwa mbali sana na sio mbuzi, ngombe au kondoo? ( mathayo 8:2😎.
Nikajiuliza nani aliyebuni uongo kuwa mapepo/majini kuwa yanaogopa nguruwe na products zake? Nikakumbuka ni bwana mdogo Ibirisi maana uongo ndio maisha yake.
Kiufupi nimekuja kuhitimisha mapepo yanapenda sana nguruwe. Kuna uhusiano mkubwa kati ya ulaji wa nyama ya nguruwe na mapepo au majini.
Mahali ambapo kuna mkusanyiko mkubwa wa nguruwe kuna uwezekano mkubwa kuwa na shughuli za hawa viumbe.
Jiepushe na vitu ambavyo majini na mapepo yanaona ni sehemu bora pa kuingia na kujifichia.
No hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
Nikajiuliza nani aliyebuni uongo kuwa mapepo/majini kuwa yanaogopa nguruwe na products zake? Nikakumbuka ni bwana mdogo Ibirisi maana uongo ndio maisha yake.
Kiufupi nimekuja kuhitimisha mapepo yanapenda sana nguruwe. Kuna uhusiano mkubwa kati ya ulaji wa nyama ya nguruwe na mapepo au majini.
Mahali ambapo kuna mkusanyiko mkubwa wa nguruwe kuna uwezekano mkubwa kuwa na shughuli za hawa viumbe.
Jiepushe na vitu ambavyo majini na mapepo yanaona ni sehemu bora pa kuingia na kujifichia.
No hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.