Kuna uhusiano wowote kati ya Philip Isdor Mpango na Marehemu King Kikii

Kuna uhusiano wowote kati ya Philip Isdor Mpango na Marehemu King Kikii

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Nimena Majina ya Ukoo ya Kink Kikii na Makamu wa Rais wa Tanzania yanafanana.

Kumbuka Makamu wa Rais wa anatokea Kigoma Mpakani mwa Congo. Na Kink Kikii anatokea Congo Mpakani na Kigoma Tanzania.

Makamu wa Rais wa Tanzania anaitwa Philip Isdor Mpango na Mwanamuziki alofariki anaitwa Boniface Mwanza Mpango. Je, ni ndugu?

Kumbuka hii mipaka yetu imewekwa na Wakoloni. Ndo Maana kuna Wanasai wa Kenya na Wamasai wa Tanzania na lugha zinafanana na Koo zinaingiliana. Si ajabu.
 
Salaam Wakuu,

Nimena Majina ya Ukoo ya Kink Kikii na Makamu wa Rais wa Tanzania yanafanana.

Kumbuka Makamu wa Rais wa anatokea Kigoma Mpakani mwa Congo. Na Kink Kikii anatokea Congo Mpakani na Kigoma Tanzania.

Makamu wa Rais wa Tanzania anaitwa Philip Isdor Mpango na Mwanamuziki alofariki anaitwa Boniface Mwanza Mpango. Je, ni ndugu?

Kumbuka hii mipaka yetu imewekwa na Wakoloni. Ndo Maana kuna Wanasai wa Kenya na Wamasai wa Tanzania na lugha zinafanana na Koo zinaingiliana. Si ajabu.
Nadhani ni kufanana tu kwa majina
 
Afrika mashariki ilikuwa Nchi Moja kabla ya wakoloni kuigawanya kama mafungu ya nyanya.

Mimi Rabbon, Kuna namna Huwa naamini Ngolo Kante yule kiungo mapafu ya cheetah ni ndugu yangu kabisa.
 
Ukistaajabu ya Felipe Mpango,usishangae pia Joseph kabila Kutokea hapo msasani kwenda kuwa Rais wa Congo.

Tusishangaane ilhali tu ndugu wamoja.
 
Salaam Wakuu,

Nimena Majina ya Ukoo ya Kink Kikii na Makamu wa Rais wa Tanzania yanafanana.

Kumbuka Makamu wa Rais wa anatokea Kigoma Mpakani mwa Congo. Na Kink Kikii anatokea Congo Mpakani na Kigoma Tanzania.

Makamu wa Rais wa Tanzania anaitwa Philip Isdor Mpango na Mwanamuziki alofariki anaitwa Boniface Mwanza Mpango. Je, ni ndugu?

Kumbuka hii mipaka yetu imewekwa na Wakoloni. Ndo Maana kuna Wanasai wa Kenya na Wamasai wa Tanzania na lugha zinafanana na Koo zinaingiliana. Si ajabu.
Na wale mabalozi wa Japani waliopita mhe. Sato na mhe. Masaki nao walikuwa wanaudugu na samaki sato na kijiji na Masaki mkoa wa pwani! Tutumie vichwa vyetu kufikiri kwa kiwango cha utu uzima.
 
Nafikiri siyo kitu Cha ajabu majina kufanana hasa kama wanatokea upande mwingine wa mpaka. Kule Kilimanjaro wapare wana-share majina na wataita na wapare wa Kenya.
Na hii inatokea kama wakati wa kuweka mipaka jamii moja ya kabila lililo Tanzania nilibaki upande wa mwingine wa mpaka.
I can refer you pia kwa Makamu wa Rais wa Kenya mstaafu, Moodi Awory ambaye mdogo wake wa kuzaliwa baba na mama mmoja ni mwanasiasa hitajika huko Uganda na amewahi kugombea urais wakati kaka yake akiwa namba mbili wa Kenya
 
Majina ya kibantu yanafanana na kuingiliana bila kujali mipaka tuliyoirithi kutoka kwa wakoloni,
Sidhani kama hao wawili wana uhusiano wa damu.

Isidor Mpango alikuwa na ndugu yake Gerald Mpango ambaye ni marehemu sasa, huyu mwamba namfahamu tangu miaka ya sitini akiwa mwalimu wa Sunday School pale Kibondo Anglican church na baadaye miaka ya themanini alikuwa mdhamini wangu kwenye kipaimara wakati huo akiwa mchungaji wa kanisa la Anglican pale Mwanga kilimani, Kigoma.

Nijuavyo mimi hawa kina Mpango ni wanyaheru wa Manyovu.
 
Back
Top Bottom