Kuna uhusiano wowote kati ya Philip Isdor Mpango na Marehemu King Kikii

Kuna uhusiano wowote kati ya Philip Isdor Mpango na Marehemu King Kikii

Majina ya kibantu yanafanana

Kule kongo kuna waziri alikuwa anaitwa Membe na huku Tanzania alike to waziri anaitwa Membe walikutana siku moja

Mkuu waziri wa Congo aliitwa "Lambert Mende" mengine ni ndimi kutokuwa na mfupa ndugu.
 
Haya tufanye ni ndugu......lengo lako unafosi ionekane MH. Makamu wa Rais siyo mtanzania " Asilia".

What next, mipaka hii iliwekwa na wazungu sisi tuliwekeana himaya tu na siyo mijumuisho mkubwa ya makabila kama hii ya leo.
 
Salaam Wakuu,

Nimena Majina ya Ukoo ya Kink Kikii na Makamu wa Rais wa Tanzania yanafanana.

Kumbuka Makamu wa Rais wa anatokea Kigoma Mpakani mwa Congo. Na Kink Kikii anatokea Congo Mpakani na Kigoma Tanzania.

Makamu wa Rais wa Tanzania anaitwa Philip Isdor Mpango na Mwanamuziki alofariki anaitwa Boniface Mwanza Mpango. Je, ni ndugu?

Kumbuka hii mipaka yetu imewekwa na Wakoloni. Ndo Maana kuna Wanasai wa Kenya na Wamasai wa Tanzania na lugha zinafanana na Koo zinaingiliana. Si ajabu.

Mkuu swali lako hili kwanini sasa wakati king Kikumbi Mpango keshatangulia mbele za haki?

Au ndiyo kwanza umejua kuwa naye ni bin Mpango?
 
Ukistaajabu ya Felipe Mpango,usishangae pia Joseph kabila Kutokea hapo msasani kwenda kuwa Rais wa Congo.

Tusishangaane ilhali tu ndugu wamoja.
Joseph kabila si mkongo wala mtanzania,ni mtusi wa Rwanda,jinale hypolite kanembe kazembelembe,mzee kabila alimuasili tu
 
Haya tufanye ni ndugu......lengo lako unafosi ionekane MH. Makamu wa Rais siyo mtanzania " Asilia".

What next, mipaka hii iliwekwa na wazungu sisi tuliwekeana himaya tu na siyo mijumuisho mkubwa ya makabila kama hii ya leo.
Ni aidha kinki kii ana asili ya tanzania au mpango ana asili ya kongo,chagua linalokufaa
 
Majina ya kibantu yanafanana na kuingiliana bila kujali mipaka tuliyoirithi kutoka kwa wakoloni,
Sidhani kama hao wawili wana uhusiano wa damu.

Isidor Mpango alikuwa na ndugu yake Gerald Mpango ambaye ni marehemu sasa, huyu mwamba namfahamu tangu miaka ya sitini akiwa mwalimu wa Sunday School pale Kibondo Anglican church na baadaye miaka ya themanini alikuwa mdhamini wangu kwenye kipaimara wakati huo akiwa mchungaji wa kanisa la Anglican pale Mwanga kilimani, Kigoma.

Nijuavyo mimi hawa kina Mpango ni wanyaheru wa Manyovu.
Wamanyema wapo tz na kongo,lakini kiasili ni wakongo
 
Salaam Wakuu,

Nimena Majina ya Ukoo ya Kink Kikii na Makamu wa Rais wa Tanzania yanafanana.

Kumbuka Makamu wa Rais wa anatokea Kigoma Mpakani mwa Congo. Na Kink Kikii anatokea Congo Mpakani na Kigoma Tanzania.

Makamu wa Rais wa Tanzania anaitwa Philip Isdor Mpango na Mwanamuziki alofariki anaitwa Boniface Mwanza Mpango. Je, ni ndugu?

Kumbuka hii mipaka yetu imewekwa na Wakoloni. Ndo Maana kuna Wanasai wa Kenya na Wamasai wa Tanzania na lugha zinafanana na Koo zinaingiliana. Si ajabu.
Ulimaliza darasa LA nne! This is the most stupid thing to say
 
Huko mipakani ni kawaida sana unakuta mtu mzazi wake alitoka nchi ya jirani au babu yake alitoka nchi jirani na unakuta bado wapo ndugu zao huko. Muhimu ni mtu kuwa mtanzania.
 
Rose na Mwiza wako wapi?
Marehemu Askofu Dk. Gerald Mpango alioa dada wa damu wa Daud Balali.
Majina ya kibantu yanafanana na kuingiliana bila kujali mipaka tuliyoirithi kutoka kwa wakoloni,
Sidhani kama hao wawili wana uhusiano wa damu.

Isidor Mpango alikuwa na ndugu yake Gerald Mpango ambaye ni marehemu sasa, huyu mwamba namfahamu tangu miaka ya sitini akiwa mwalimu wa Sunday School pale Kibondo Anglican church na baadaye miaka ya themanini alikuwa mdhamini wangu kwenye kipaimara wakati huo akiwa mchungaji wa kanisa la Anglican pale Mwanga kilimani, Kigoma.

Nijuavyo mimi hawa kina Mpango ni wanyaheru wa Manyovu.
 
Joseph kabila si mkongo wala mtanzania,ni mtusi wa Rwanda,jinale hypolite kanembe kazembelembe,mzee kabila alimuasili tu
Jamaa alikuwa anasoma shule ya sekondari Zanaki jioni. Yani shule fulani ya hadhi ya chini kabisa Dar.

Baadaye tukasikia anapigana Zaire, baafaye baba yake kauawa akawa rais.
 
Jamaa alikuwa anasoma shule ya sekondari Zanaki jioni. Yani shule fulani ya hadhi ya chini kabisa Dar.

Baadaye tukasikia anapigana Zaire, baafaye baba yake kauawa akawa rais.
Muda mfupi kabla ya babaake kuuawa kwa risasi, akikimbilia brazzaville
 
Salaam Wakuu,

Nimena Majina ya Ukoo ya Kink Kikii na Makamu wa Rais wa Tanzania yanafanana.

Kumbuka Makamu wa Rais wa anatokea Kigoma Mpakani mwa Congo. Na Kink Kikii anatokea Congo Mpakani na Kigoma Tanzania.

Makamu wa Rais wa Tanzania anaitwa Philip Isdor Mpango na Mwanamuziki alofariki anaitwa Boniface Mwanza Mpango. Je, ni ndugu?

Kumbuka hii mipaka yetu imewekwa na Wakoloni. Ndo Maana kuna Wanasai wa Kenya na Wamasai wa Tanzania na lugha zinafanana na Koo zinaingiliana. Si ajabu.
Nashauri pombe kali za bei rahisi zipigwe marufuku
 
Hakyanani JF nayo imebadilika. Wewe kabisa unaweka bandiko la aina hii ?!
Mungu atusaidie kwa kweli 😢
 
Back
Top Bottom