Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini isiwezekane, mshahara ni makubaliano baina ya mtu na mtu/taasisi.Wewe nawe jaribu kufanya reasoning hata kwa kichwa chako kabla ya ku post huo ujinga. Pacome na Diarra ni wachezaji wa kigeni tena wenye viwango vikubwa hawawezi kulipwa hiko kiwango tena wanazidiwa na Mkude
Diarra ana misimu mingapi ndani ya Yanga? Huo mshahara alipwe Diarra bado hajakatwa kodi na mambo mengine kibao unadhani angevumilia kucheza Yanga misimu yote wakati ndio mchezaji tegemeo golini?Kw
Kwanini isiwezekane, mshahara ni makubaliano baina ya mtu na mtu/taasisi.
Pacome amekuja nchi hii kusaka life tena hajaja wa kugombaniwa kama aziz key, ye aliletwa na wakala na bado simba wakazingua, Subiri warenew mikataba yao ndio utaona balaa lao sababu ya kiwango walichoonesha.
Unadhani kwa soka la bongo wakati pacome anakuja chini kati yake na mkude nani alikuwa kaishaonesha ubora wake ? Huenda pia hichi anacholipwa hapo yanga huko asec alikuwa hapati hata nusu yake.
Subiri mkataba mpya ndio muda wake wa kutamba, hatolipwa hiyo pesa mbuzi.
Diarra ana misimu mingapi ndani ya Yanga? Huo mshahara alipwe Diarra bado hajakatwa kodi na mambo mengine kibao unadhani angevumilia kucheza Yanga misimu yote wakati ndio mchezaji tegemeo golini?
Point yako ya mchezaji kugombewa, Guede hakuna klabu iliyokuwa inagombaniana na Yanga ila kwenye hiyo attachment aliyotuma mleta uzi ndio anaonekana analipwa ela nyingi kuliko wote
Anayelipwa nyingi nimezungumziaanaelipwa kuliko wote ni shekan
Usiwashitue waache waendelee hivyo hivyoMambo haya ndio yanayoipoteza simba sema hamstuki