NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Daaaah nakumbuka wakati nipo mdogo nilikuwa nazichapa haswa na mdogo wangu, ila nilokuwa ni kama napigana kwa tahadhari situmii nguvu zote.
Yaani dogo aliniona mie kama boya tu, saa ikafika siku nikaamua kutumia full force yani nilimshushia mzigo wenyewe bila kujivunga ndio heshima ikawepo.
Hafu ugomvi ukahamia kwake na aliyemfuata, yaani walikuwa wanazichapa haswa.
Yaani dogo aliniona mie kama boya tu, saa ikafika siku nikaamua kutumia full force yani nilimshushia mzigo wenyewe bila kujivunga ndio heshima ikawepo.
Hafu ugomvi ukahamia kwake na aliyemfuata, yaani walikuwa wanazichapa haswa.