Kuna ukweli juu ya uke wa mwanamke kutanuka kutokana na kufanya kazi nyingi?

Kwa hiyo midomo yetu kuwa mikubwa ama midogo ni sababu ya kazi au kula chakula kingi?
 
Huyo mama asipojirekebisha atamuua mumewe kwa Ukimwi.
 
Aache kumzingua jamaa. Hyo n kazi ya Msolopaganzi wa mchepuko!!

Watu wanakula mizizi daily ili kuwakomesha wake za watu! Mpe pole sana
 
Theory of use and Disuse...... If you don't use, you forfeit. Means ikitumika inatanuka na isipotumika inapungua size (Forfiet).
 
Big No! Nime experience pale ninapo DO sana mb...ooo Hukaza na kuwa imara zaidi kuliko nikikaa bila Ku-do. Hivyo hivyo kwa wanawake itakuwa kama hato.....mwi inasinyaa na kuwa ndogo.
Refer theory of use and disuse_If you don't use it, you forfeit. In this case kupungua kwa size.
 
Kama ni kazi rasmi za kiuchumi hamna ykweli, kama ni kuingiliwa na wanaume kila kukicha, lazima utanuke, unuke, na kuwe na maji mengi.
 
mwanamke akili yake bwana kaona amtulize na swala la kutafuta mfanyakazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…