bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
Useme hao wa 20 - 24 wanakuwaga watamu kama asali ππ€π€π€π€ daaah hii ndo imetokea kwa ex wangu...
20-24 Akasema haolewi mimi mpaka nijitafute na nijipate
ila huko alipoenda akawa mke wa pili
Watamu sana ila ndio hivo wanakua bado hawana better decision-making..Useme hao wa 20 - 24 wanakuwaga watamu kama asali π
Of course, hao wanataka Mwanaume uwe ndiyo final say wao.Watamu sana ila ndio hivo wanakua bado hawana better decision-making..
Mwisho wa siku wanakuja kustuka kumekucha ππ
Hapo kwenye sex ndo unapopajua wewe an nilitaka nishangae usigusie hapo...Of course, hao wataka Mwanaume uwe ndiyo final say wao.
Uwaongoze kwenye kila jambo, muhimu maokoto yawepo tu.
Ukija kwenye sex kama afya inaruhusu unaweza kupewa kila siku hadi tani yako π€
Koh koh koh ............usikute hiyo comment aliandika Lastborn wangu π€ͺπππHapo kwenye sex ndo unapopajua wewe an nilitaka nishangae usigusie hapo...
Mzee wa hovyo wewe πππππ
Hahaha umekuwa bonge la mshindi hahaπ€π€π€π€ daaah hii ndo imetokea kwa ex wangu...
20-24 Akasema haolewi mimi mpaka nijitafute na nijipate
ila huko alipoenda akawa mke wa pili
ππππππππKoh koh koh ............usikute hiyo comment aliandika Lastborn wangu π€ͺπππ
ππππππ daaah aiseeeeHahaha umekuwa bonge la mshindi haha
Sisi Wazee unatujua hatuna mambo mengi ujue π€ππππππππ
Daah basi bana
#vyote amani tu mkuu wangu, sina baya na wewe#ππππππ daaah aiseeee
Nikuitaje mtani sio πππ
UzeeSisi Wazee unatujua hatuna mambo mengi ujue π€