bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
Nimeikuta mahali hii picha..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Useme hao wa 20 - 24 wanakuwaga watamu kama asali 🙈🤔🤔🤔🤔 daaah hii ndo imetokea kwa ex wangu...
20-24 Akasema haolewi mimi mpaka nijitafute na nijipate
ila huko alipoenda akawa mke wa pili
Watamu sana ila ndio hivo wanakua bado hawana better decision-making..Useme hao wa 20 - 24 wanakuwaga watamu kama asali 🙈
Of course, hao wanataka Mwanaume uwe ndiyo final say wao.Watamu sana ila ndio hivo wanakua bado hawana better decision-making..
Mwisho wa siku wanakuja kustuka kumekucha 😂😂
Hapo kwenye sex ndo unapopajua wewe an nilitaka nishangae usigusie hapo...Of course, hao wataka Mwanaume uwe ndiyo final say wao.
Uwaongoze kwenye kila jambo, muhimu maokoto yawepo tu.
Ukija kwenye sex kama afya inaruhusu unaweza kupewa kila siku hadi tani yako 🤗
Koh koh koh ............usikute hiyo comment aliandika Lastborn wangu 🤪🏃🏃🏃Hapo kwenye sex ndo unapopajua wewe an nilitaka nishangae usigusie hapo...
Mzee wa hovyo wewe 😂😂😂😂😂
Hahaha umekuwa bonge la mshindi haha🤔🤔🤔🤔 daaah hii ndo imetokea kwa ex wangu...
20-24 Akasema haolewi mimi mpaka nijitafute na nijipate
ila huko alipoenda akawa mke wa pili
🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂Koh koh koh ............usikute hiyo comment aliandika Lastborn wangu 🤪🏃🏃🏃
😂😂😂😂😂😂 daaah aiseeeeHahaha umekuwa bonge la mshindi haha
Sisi Wazee unatujua hatuna mambo mengi ujue 🤗🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂
Daah basi bana
#vyote amani tu mkuu wangu, sina baya na wewe#😂😂😂😂😂😂 daaah aiseeee
Nikuitaje mtani sio 🙌🙌🙌
UzeeSisi Wazee unatujua hatuna mambo mengi ujue 🤗