Kuna ukweli kuwa Vita ya Kagera vurugu ilianzia bar?

Kuna ukweli kuwa Vita ya Kagera vurugu ilianzia bar?

Hii simulizi ukiangalia kama ya kijiweni lakini kama ina ka-ukweli ,maana kama askari aliripoti kwa mkuu wa kambi,mkuu kambi akawasiliana na Kampala na kupata go ahead na kupeleka battalion yote kagera basi huo ndo kama uvamizi wenyewe
Hatujui wala hatuna majibu halisi leo , ila walituvamia tukawanyoosha kwa viboko vya matakoni.
 
Hii simulizi ukiangalia kama ya kijiweni lakini kama ina ka-ukweli ,maana kama askari aliripoti kwa mkuu wa kambi,mkuu kambi akawasiliana na Kampala na kupata go ahead na kupeleka battalion yote kagera basi huo ndo kama uvamizi wenyewe
Yaani unaongelea kirahisi tu jeshi la nchi 1 kuvuka mpaka kwenda kupiga jeshi la nchi nyingine kama vile unaongelea FFU wanaenda kuchapa wanafunzi wa bwenini waliogoma.
 
Kwa Idd Amin inawezekana
Yaani unaongelea kirahisi tu jeshi la nchi 1 kuvuka mpaka kwenda kupiga jeshi la nchi nyingine kama vile unaongelea FFU wanaenda kuchapa wanafunzi wa bwenini waliogoma.
 
Mmh! Ngoja kidogo, Mkuu mleta mada naomba kufahamu mahala ulipotoa hicho kipandechenye maelezo ya kiingereza kama ni gazeni au kitabu jina lake tafadhali.
 
Nimesoma story yote na huyo mganda alikua anagombea bibi,ni demu tu ndio alifanya akapigwa
 
Nimetoa kwenye gazeti inaitwa "Daily Moniter "

Andika google

How bar fight sparked the 1979 Uganda -Tanzania war
Mmh! Ngoja kidogo, Mkuu mleta mada naomba kufahamu mahala ulipotoa hicho kipandechenye maelezo ya kiingereza kama ni gazeni au kitabu jina lake tafadhali.
 
Ukisoma zaidi jamaa alipoenda kambini alirudi na kama askari 10 wakaanza kupiga risasi hewani mpakani ,askari wa Tanzania nao wakajibu ,wakawasiliana na Dar kwamba tumevamiwa ,na wale kule nao wakaongeza nguvu
Nimesoma story yote na huyo mganda alikua anagombea bibi,ni demu tu ndio alifanya akapigwa
 
Unatakiwa ujue kuwa mpka watu wanaamua kuingia katika Vita ujue kuna mfululizo wa matukio tena mengi mno ambayo kila upande ukishindwa
kuyavumilia basi lzm kila mmoja ashike
mtutu na kuingia vitani

Manake yawezekana kuwa kuna ishu nyingi mno ila hatuzijui sasa kama kuna ambao wanajua ishu hzo watushirikishe tuzijue na sisi
 
Inawezekana haujui kama kuna vijana wa kitanzania 21 waliokua wakisomea u-pilot huko Uganda waliuwawa kwa amri ya Idd Amini

Inshort kulikua na series ya events kabla ya kuanza rasmi kwa vita ya Ug vs Tz.

Una ushahidi wowote mkuu? kwani mie nilikuwa na ndugu yangu kule Soroti Flying School na hakunieleza story kama hiyo mbali na kwamba walitoroka kupitia mpaka wa Kenya
 
Una ushahidi wowote mkuu? kwani mie nilikuwa na ndugu yangu kule Soroti Flying School na hakunieleza story kama hiyo mbali na kwamba walitoroka kupitia mpaka wa Kenya
Yes ushahidi upo boss,JOHN MALECELA yeye ndiye aliyetumwa na Mwl. Nyerere kwenda Uganda kwa Idd Amin kumzuga wkt huo arrangments za kuwatorosha vijana walioko Makerere na Soroti zikiendelea kwa kasi,vijana wa Makerere wakatoroshwa wote,wale wa Soroti wakagoma maana walikua wamebakiza mwezi 1 wa graduate u-pilot,hayo aliyasema akihojiwa na Channel ya Maisha Magic chan. No 158(DSTV) kipindi kinaitwa Maisha Yangu cha tarehe 03/06/2019, saa 19:00)
 
Ukiwa Kiongozi lazima uondoe wanaokupinga hata uwe mlokole

Sent using Jamii Forums mobile app
Utahangaika sana wapinzani hawaishi Duniani! ukiwaua sana, haohao wanao kusaidia kuua hawatakuamini km kuwa hutawaua wao baadaye! dawa yake wanakumaliza wao faster! ili wawe salama! mfano; Mungu yeye aliacha mpinzani wake apete atakavyo, ili kuleta amani Mbinguni!
 
Duh huo mfano wa Mungu kumwacha adui yake ili kuwe na amani duniani umepata wapi kwenye vitabu vya dini
Utahangaika sana wapinzani hawaishi Duniani! ukiwaua sana, haohao wanao kusaidia kuua hawatakuamini km kuwa hutawaua wao baadaye! dawa yake wanakumaliza wao faster! ili wawe salama! mfano; Mungu yeye aliacha mpinzani wake apete atakavyo, ili kuleta amani Mbinguni!
 
Kuna nchi zimewahi kupigana Vita sababu ya ushabiki wa mpira, wewe unasema hili?
Hata moto ukitaka kuuwasha lazima uwe na kamoto kadooogo ili uwashe moto mkubwa,ni sawa kila sababu ya kuanza kwa vita,basi hao walikuwa wanatafuta pakuanzia tu.
 
Duh huo mfano wa Mungu kumwacha adui yake ili kuwe na amani duniani umepata wapi kwenye vitabu vya dini
SOMA tena! Mkuu amani hiyo siyo Duniani, Ni mbinguni, ange muua Shetani Malaika wengine Mbinguni wange muabudu kwa uoga! wangemchukulia Mungu km katili hivi. wangejiuliza huenda Shetani yuko sahihi. kmTundu Lisu watanzania wanvyomuona yuko sahihi, alisema ''tukitoka sisi anakuja kwenu!'' ikawa kweli.

Hao Mawazili wake Jiwe, wanafanyakazi kiuoga kweli angalia anapoongea mbele yao! kimyaaaa!

Ni sawa km Mama amepigwa kikatili na Baba nyumbani, hata km amekosa utampenda Baba kweli Mkuu? sana unaweza hata kumbonda mdingi! mama hawezi dhalilishwa mbele yangu wakati nina msuli wa kutosha, hata nikiamlia ntaegegmea sana upande wa mama.

Ukiwa na watoto wako wakubwa wenye ufahamu, ukitaka wakupende na kukuheshimu mpende Mama yao tu baasi. Ndiyo maana satan hakuuawa kirahisi!
 
Penda kusoma Vitabu+ Magazeti.
Sehemu ya Bar imesimuliwa lakini sivyo ulivyo isimulia.
Ushauri:
Tafuta Kitabu au Makala ya Kachero Frown Kagauka- Mateka Mpakani
Waweza hata ku-Google
Hivi vitabu hardcopy vya huyu Frown Kagauka vinapatikana wapi? Nakihitaji sana.
 
.Hahaha sidhan kama Lubisi ndio ilisababisha vita

🅼🅸🅻🅸🆃[emoji742]🆁🆈 🅶🅴🅽🅸🆄🆂
 
Back
Top Bottom