Kuna ukweli kuwa Vita ya Kagera vurugu ilianzia bar?

Kuna ukweli kuwa Vita ya Kagera vurugu ilianzia bar?

Madaraka yanakuja na gharama kubwa sana, Ungekuwa Mkristo ungesoma bibila Absalom utaona alichofanywa
Absalom alikuwa na kisasi na Joab, so Abosalom alipokwama mwaloni na farasi wake Joab ndiyo akaona ammalizie hapohapo! hivo alilipa kisasi kwa sbabu Abosalom aliwahi kuchoma shamba langano na mghala yote ya Joab,

Mzee Daudi hakutaka Absalom auawe! aliposikia kauawa aliomboleza Israel yote! sababu alijua yeye kama Baba alipaswa kumshauri tu! kijana asipotoke! yaani ukisikia upendo wa kweli ndiyo kama huu!!!

inawezekana kabisa kijana alirubuniwa na kundi la wasaliti wa Daudi kina Ahithopheli, mpaka kijana akawa piga miti mama zake. huyu mshauri baada ya kusumbuliwa na ile dhambi akajinyonga taatibu, sasa siyo kila kosa umuadhibu kijana no!
 
Back
Top Bottom