Kuna ukweli wowote katika aina hii ya utapeli?

Mnunulie Laptop Nyingine Usifukue makaburi Unapoteza Muda! Kama huna hela mwambie sina...
 
Kuna kitu inaitwa Hypnosis. Unakuwa unakubali tu suggestion. Upo kama haupo. Haina uchawi wowote.
 
Jitahidi ufanye mambo yako mwenyewe utalaumu watu bure pesa haina rafiki na haipatikani kizembe
 
Kakutana na wale wataalamu. Kwakweli hayajawahi kunikuta ila sijawahi elewa how do they do it
Kuna mtu wangu nilimpa mtaji wa 2.5ml aanze m pesa ndani ya siku 2 akalizwa hivhivi
 
Inawezekana kweli wajanja wamemtaimu,hasa kama ni mgeni wa mji na kila kitu anashangaa shangaa tu...... matapeli Wana Psychologia kubwa kuliko hata Prof of Psychology ya chuo kikuu
Yes hivi karibu kuna msichana alipigwa hivi hivi tena pesa alitoa mwenyewe akamkabidhi akakosa hadi nauli
 
Kuna mtu wangu nilimpa mtaji wa 2.5ml aanze m pesa ndani ya siku 2 akalizwa hivhivi
Dah hasara juu ya hasara. Kuna dogo ye aliwekwa awe wakala akapgwa mls 7 eti anaambiwa atapelekwa marekan
 
Ipo mwenyewe nilibeba mpaka simu ya mama nikawapelekea
 
Iliwahi nikuta hiyo lakini waliishia kwa afande sabasita kituo kikuu cha polisi Morogoro miaka ile.
 
Huo utapel upo mkuu. Wakati hao wahuni wanaku attack anajua 1, anakusimamisha anakuomba msaada wa kuelekezwa njia, hapo hapo anakuja mhuni mwingine anapita kisha na yeye anasaidia kuelekeza, mara utasikia tumsindikize, ukienda kuna chochoro yule wa pili ataelekeza shortcut, mkipita mkishafika kwenye target yao kwa Arusha ni wanakukaba wanachukua hasina zao wanaondoka.
 
Walinikosakosa mtaa Kipata miaka ya nyuma.
Ukipigwa ni ujinga tu, mjanja hapigwi mazee.
 
Umenikumbusha studio pale kinondoni mkaka yule huruma yangu ikaniponza kumbe ndo naenda kupigwa simu na pesa
 
We unaweza cheza na akili ya mtu mpaka aende atm atoe pesa yote akupe pasipo yeye kuwa na ufahamu?
Si kawaida
Ni kwasababu Tu umeshaisikia...ila kama hujui hata wewe wanaweza kukupiga kama unaamini mambo ya uchawi ndio unakuwa vulnerable kabisa...wanajua kucheza Na saikolojia
 
Ni kwasababu Tu umeshaisikia...ila kama hujui hata wewe wanaweza kukupiga kama unaamini mambo ya uchawi ndio unakuwa vulnerable kabisa...wanajua kucheza Na saikolojia
Kwakweli tamaa ndo msingi wa kutapeliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…