Unemployment ni zao la kukosa
basic skills za production,taifa
linapuuza kukomaza vyuo vyenye
tija kama Sido na Veta matokeo
yake ni kuwa na Graduates
wasiokuwa na dira mitaani,hawa
ndio wanageuka wahanga wa
hizi kampuni za kiujanjaujanja za
network marketing,ukiuliza
endapo kila mtu akifanya hyo
network marketing nani
atamuuzia nan jibu hamna,haya
haohao wanaojiita watu wa
netwok marketing badala ya
kuumiza vichwa na kuja na
production yao wenyewe ya hzo
food suppliments ili kuua ndege
wawil kwa jiwe moja yani kutoa
ajira na kujiajiri pia, bado
wanategemea imported
products ili wao watembeze
kama MACHINGA na kutoa
maneno mengi ya kuvutia
watu...ndugu zangu inabd
tubadilike sio lazima kuangalia
mafanikio yetu binafsi kwamba
ntaendesha gari na kujenga
nyumba,lazima tufikirie ni namna
gani tulifanye taifa lisonge
mbele,mbona nchi nyingi za asia
wameweza ku-buy class!..Tujikite
kwenye uzalishaji binafsi
otherwise taifa litageuka la
WAMACHINGA...nb:wamachinga ni
wachuuzi wa bidhaa
wasizozitengeneza
wenyewe.........My perspective
kuhusu solution ya
unemployment ni kuwa serikali
ipunguze enrolment ya
graduates badala yake watu
wasomeshwe bure production
na kisha wapatiwe vitendea kazi
baada ya kuhitimu,few years to
come tutaanza kuexport bidhaa
za mbao kama meza na kabati
badala ya ilivyo sasa, unatakiwa
ujisikie aibu ninapokuuzia ugali
wakati mahindi nimenunua
kwako!..
Reply