Kuna ukweli wowote kuhusu redbull?


Acha mihemko ya kidini
 
Mbaya zaidi huyu jogoo ni mzururaji sijajua jana kala kinyesi cha nani.. [emoji28] [emoji28] Kwa wale jamaa zetu wanaokula utumbo ndio shida kabisa.

Kala kinyesi cha mashabiki wa Yanga! Kinyesi cha stress
 
Mbaya zaidi huyu jogoo ni mzururaji sijajua jana kala kinyesi cha nani.. [emoji28] [emoji28] Kwa wale jamaa zetu wanaokula utumbo ndio shida kabisa.
[emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Pale sana kwa kuamini hivyo



[emoji817]
 

Aisee you made my day.
 
Ila yanga ni timu mbovu kuwah kutokea hapa nchini kwa miaka ya hiv karibuni ukweli usemwe tu
acha stress Yanga imefikaje apa ulilala unaiwaza ukiamka unaiwaza
 
Mbaya zaidi huyu jogoo ni mzururaji sijajua jana kala kinyesi cha nani.. [emoji28] [emoji28] Kwa wale jamaa zetu wanaokula utumbo ndio shida kabisa.

Wanaokula utumbo...?. Una utani na watu mkuu ngoja wakuskie sjui miss chagga yupo humu.
 
acha stress Yanga imefikaje apa ulilala unaiwaza ukiamka unaiwaza


nayo yanga au simba ndo timu za kuziwaza hayo ni matimu ya hovyo kuwah kutokea duniani tuache kushangalia wakina

barcelona
madrid
manchester united

uje kwa matimu ambayo yanashiriki mashindano ya kimataifa toka tuzaliwe hata fainali ya cuf hayajawah gusa
 
sasa ulileta story za nn apa
 
Mbaya zaidi hujui hayo matunda kalima nani na alitumia mbolea gani kustawisha. Wengine wanatumia kinyesi cha nguruwe, binadamu ng'ombe au mbuzi.
Yakivunywa hatujui mvunaji aliyatunza vipi? Kiufupi hatuwezi kukwepa uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…