Kuna ukweli wowote kuwa baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?

Ngono ni agano na ni ibada ukipewa utume na shetani mashart kila mwezi utafune bikira unawapataje wao wenyewe ndio ukuconnect ukutane na hao bikira
Amewakata sana bikra zao mbaya zaidi wakishika mimba wanafosiwa kuzitoa kwa lazima, aisee kuna Mama ulikua humwambii kitu kuhusu Emanuel TV na Scoan almanusura aende akaishi Lagos
 
Huo ni mtazamo wako wewe
Ulianza kusema kuhusu biashara, mambo yanakwama sasahiv umebadilika.

Acheni kudanganyana.
Laana inaweza kuwa ni outcome ya mtu mmoja mmoja.
Suala kuoa ni maamuzi tu .
Mtu asieamini katika mikosi, mikosi inaweza mpata!?

Mfano wengi wanaamini katika mikosi ikiwa tu biashara zake zikienda ndivyo sivyo baada ya kukutana na aina fulani ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…