bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ndo maana hataki kuoa we uoni ni laana hio.Acha uongo rafiki yangu hataki kuoa na ananunua malaya kaongezewa mkataba wa kazi na mshahara
Acha stori zako.
Kuomba bila maarifa nayo ni bure tuAah mi naomba mwenyewe
Mungu Huwa anatoa warning ila ubishi tu
I knw,Kuomba bila maarifa nayo ni bure tu
Hata walioachana waliomba Mungu
TB Joshua nasikia alikua anawafanya matusi mabikra miaka 13 hadi 21 huko kwenye kasri lake Lagos, vipi wewe ungekubari?Both mwanamke na mwanaume
Wanakua wamebeba spirit kibao🙌
Ngono ni agano na ni ibada ukipewa utume na shetani mashart kila mwezi utafune bikira unawapataje wao wenyewe ndio ukuconnect ukutane na hao bikiraTB Joshua nasikia alikua anawafanya matusi mabikra miaka 13 hadi 21 huko kwenye kasri lake Lagos, vipi wewe ungekubari?
Amewakata sana bikra zao mbaya zaidi wakishika mimba wanafosiwa kuzitoa kwa lazima, aisee kuna Mama ulikua humwambii kitu kuhusu Emanuel TV na Scoan almanusura aende akaishi LagosNgono ni agano na ni ibada ukipewa utume na shetani mashart kila mwezi utafune bikira unawapataje wao wenyewe ndio ukuconnect ukutane na hao bikira
Shetani kaziniAmewakata sana bikra zao mbaya zaidi wakishika mimba wanafosiwa kuzitoa kwa lazima, aisee kuna Mama ulikua humwambii kitu kuhusu Emanuel TV na Scona almanusura aende akaishi Lagos
It's like unakojoa Magma.gono ni mkosi aisee,
chezea kukojoa huku unalia....
Kwa hio kuna yule jamaa yetu hapa Bongo na yeye tusubiri madudu yake au tumngoje mwingine?Shetani kazini
Jamaa kawagonga kila taifa especially Europe anasafirisha akifika anaanza kukata utepe,TB bikira zake kala hapahapa duniani
Mpumbavu huyo Hana analolijuaNgono ni agano na ni ibada ukipewa utume na shetani mashart kila mwezi utafune bikira unawapataje wao wenyewe ndio ukuconnect ukutane na hao bikira
TB Joshua alikua anawala wasichana wadogo mabikra hujasikia BBC au? Wamefanya podcast miaka miwili kuchukua ushahidi kwa wahanga wote waliopatwa na madhira hayo ya kupokonywa bikra zao kwa lazima (kubakwa)Mpumbavu huyo Hana analolijua
Ndo maana nimempotezea
Huo ni mtazamo wako weweNdo maana hataki kuoa we uoni ni laana hio.
Laana sio umasikini pekee,ujaona mtu anahela lakini analaana
Huu utafiti wako ngoja tuusome kwa makini.Dalili z wanawake wenye mikosi.
Malaya,midomo michafu,vimbau hawana Nuru,hasira,wagomvi,waropokaji
Tayana-wogDalili z wanawake wenye mikosi.
Malaya,midomo michafu,vimbau hawana Nuru,hasira,wagomvi,waropokaji
Mtu asieamini katika mikosi, mikosi inaweza mpata!?Huo ni mtazamo wako wewe
Ulianza kusema kuhusu biashara, mambo yanakwama sasahiv umebadilika.
Acheni kudanganyana.
Laana inaweza kuwa ni outcome ya mtu mmoja mmoja.
Suala kuoa ni maamuzi tu .
Kwani amefika mwisho wa mafanikioHuo ni mtazamo wako wewe
Ulianza kusema kuhusu biashara, mambo yanakwama sasahiv umebadilika.
Acheni kudanganyana.
Laana inaweza kuwa ni outcome ya mtu mmoja mmoja.
Suala kuoa ni maamuzi tu .