ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
tumia kondomu muda wote kujikinga na mikosi ya ngonoHakuna kinachosambaza mikosi kama ngono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumia kondomu muda wote kujikinga na mikosi ya ngonoHakuna kinachosambaza mikosi kama ngono
Imani tofauti,ameolewa ila nakulaga any Time nikihitaji.C ungeishi nae jumla...[emoji850][emoji1781][emoji23][emoji23]
Hawa wahubiri wapenda pesa hawajatumwa na Mungu.Ebwana ni hatari sana, na wewe ukiwaweka hadharani hawa mabwana wa hapa Bongo na wewe utaitwa mchicha mwiba?
Basically umesema haipo ila ipo kwenye akili ya anaeaminiMikosi ipo kama wewe ni wa kiroho au wa kiganga, ila kama upo neutral mikosi equal to zero maana ni mambo ya kiimani.
Kuna ukweli wowote kuwa kuna baadhi ya wanawake ukilala nao unapata mikosi?
Kumekuepo na story nyingi mtaani hasa kwa vijana na wazee kuwa kulala na kila mwanamke unaweza pata mikosi.
Kuna yeyote alishawai kutana na hichi karibu tushare..!
Kitu kina spit lava 😂It's like unakojoa Magma.
Laki? Ungempa hata asilimia 20 ya hiyo helaNiligongana na mdada 24hrs ninae nimemficha,saa kumi mchana nikaweka Mkeka makamalia wanaojua...Aaasee nilipiga Millions 3 na laki sitaa na takatakaa!
Duh! Nilimpa laki akalee anachotaka huko aendakoo,Koo Ipo hiyoo...wengine utashaangaa ukitoka kumlaa tu simu za kukopwa pesa zinafululiza tu tena ambao Soo wakurudisha baba mkwe mfanooo.
kujua ni baada ya tendo tena baadae sana.Tufanye nini kuepuka mikosi hii na utajuaje mwanamke fulani ana mkosi?
Kwa anaeamini na asieamini?
Mungu akusameheWatanzania wengi tu na Waafrika huwaambii kitu kuhusu TB Joshua. Jamaa alikuwa kubwa la ibilisi.
Tangu akiwa hai niliwahi kusema yule ni wakala wa Ibilisi. Mimi nilisema kwa mujibu wa maandiko.
Hata huyu shetani wa kawe na yule wa Kimara Temboni pamoja na lile ibilisi kuu lililotoa kafara mwanae juzi ni washenzi wakubwa
Kufukuzwa kazi, kusitisha biashara baada ya kuchacha, kushushwa cheo, kufilisika ukwasi and vise versa is true.Habari za jioni!
Moja kwa moja kwenye topic.Inasemekana wengine wana mikosi wengine ukilala nao riziki za mwanaume zinafunguka.Eti na mwanamke akiwa mjamzito riziki za mwanaume zinakata hapati hata senti tano.
Toa mchango wako.
Tunabadilishana mikosi tu 🙈🙈Habari za jioni!
Moja kwa moja kwenye topic.Inasemekana wengine wana mikosi wengine ukilala nao riziki za mwanaume zinafunguka.Eti na mwanamke akiwa mjamzito riziki za mwanaume zinakata hapati hata senti tano.
Toa mchango wako.
SijakuelewaMikosi kama kufukuzwa kazi, kusitisha biashara baada ya kuchacha, kushushwa cheo, kufilisika ukwasi n.k.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.