Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

Iko hivi yaani sadaka huwa zinakusanywa kutoka vijijini ndani kabisa huko, makatekista wanazihesabia tena kwa kusimamiwa na watu zaidi ya mmoja, zinaandikwa kiasi halafu katekista anapeleka wilayani

Ikifika wilayani inapelekwa jimboni, yaani mkoani, hapo inapigwa hesabu yote ya mkoa mzima, halafu zinapelekwa makao makuu, hapa naamini wanaingiza bank, zikifika makao makuu sasa ndiyo zinachenjiwa kutoka Tshilingi kwenda Euro zinapelekwa Vatican, sijui kama huo utaratibu wameubadilisha kwa sasa
Sio pesa zote zinaenda Vatican ni kiasi kwa sababu Kanisa linashiriki shughuli za misaada Dunia nzima penye uhitaji wakati wa shida mfano vita,mafuriko nk kupitia mashirika ya misaada ya kimataifa ya Kikatoriki.
Mfano Caritas, Jesuit Refugee service, Christian Refugee agency,nk.
 
kuna muvi kanumba alitoa,sadaka zilikusanywa makanisa yote kupelekwa vatcan saa mzee magari akaona sasa huo ni uzuzu akafanya mpango waibe zilepesa zisipelekwe vatican,..koment yako mkuu imenifanya nikumbuke hii muvi .r.i.p kanumba
Hizo pesa mara nyingi zinarudi huku huku Afrika, kuna baadhi ya jumapili sadaka za siku hiyo zinapelekwa Vatican.

Wale wenye uhitaji wanaomba, nakumbuka nikiwa kwenye taasisi fulani, majumuisho ya sadaka tulizokuwa tukitoa katika jumapili ya miito, misioni na utoto mtakatifu haifiki hata laki mbili, lakini katika misaada tuliyokuwa tukiomba ni zaidi ya 100M
 
Hizi buku buku zetu?
Kanisa lina vyanzo vingi sana vya mapato, kufikia sadaka zetu za jumapili sio leo.
 
Sadaka zinatumika kwa Kuleta Maendeleo Mahali husika..!
Ndo maana unaweza Kuona Makanisa Yanajengwa kwa utukufu wa Mungu,ili jina Lake litukuzwe.
Hakuna kanisa linalojengwa kwa sadaka, huwa kuna michango yake tofauti kabisa na sadaka
 
Iko hivi yaani sadaka huwa zinakusanywa kutoka vijijini ndani kabisa huko, makatekista wanazihesabia tena kwa kusimamiwa na watu zaidi ya mmoja, zinaandikwa kiasi halafu katekista anapeleka wilayani

Ikifika wilayani inapelekwa jimboni, yaani mkoani, hapo inapigwa hesabu yote ya mkoa mzima, halafu zinapelekwa makao makuu, hapa naamini wanaingiza bank, zikifika makao makuu sasa ndiyo zinachenjiwa kutoka Tshilingi kwenda Euro zinapelekwa Vatican, sijui kama huo utaratibu wameubadilisha kwa sasa
Wilayani ndiyo wapi huko?
 
Hakuna kanisa linalojengwa kwa sadaka, huwa kuna michango yake tofauti kabisa na sadaka
Vyote Vinatumika Michango na Sadaka pia Kuleta Maendeleo Mahali husika.

Katoliki huwezi kuona 'eti' Mchungaji anamiliki Bangaloo halafu Kanisa ni la Mabati na Viti vya Plastiki au Uwanja wa Wazi...
Mungu ni Vizuri apewe utukufu kwa kumjengea Kanisa Zuri la kumuabudu.
 
Vyote Vinatumika Michango na Sadaka pia Kuleta Maendeleo Mahali husika.

Katoliki huwezi kuona 'eti' Mchungaji anamiliki Bangaloo halafu Kanisa ni la Mabati na Viti vya Plastiki au Uwanja wa Wazi...
Mungu ni Vizuri apewe utukufu kwa kumjengea Kanisa Zuri la kumuabudu.
Kanisa sio Jengo kanisa ni wew mwanadamu sijui kwanini hao wahuni wenu walibadiri maana ya hili Neno ili kuwaibia.

Hakuna maana wala haja ya watu kujumuika ktk hayo makusanyiko ya kizushi mnayoyaita Makanisa, maana ktk biblia kanisa ni mtu na sio jengo na hakuna mahala mmeambiwa mfanye huu ujinga mnaoufanya makanisani.

Makanisa ni mipango na malengo ya wazungu wa Roma/vatican kucontrol jamii mbalimbali dunian pia hutumia sehemu ya mapato ya wanakanisa kujinufaisha ama kukuza uchumi wa Vatican na kutimiza malengo yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii dunian kwa kutimiza ajenda zao huko sirini.

Watu kama wangejua yaliyomo nyuma ya haya makanisa na malengo ya haya makanisa basi watu wangeamka wangeachana na huo ujinga badala yake wangekomaa kuongeza maarifa ya kiroho na kimwili nje ya uongo wa kidini.

Vatican wameiharibu sana dunina kwa mambo mengi, wameidanganya dunia na bado wanaendelea kuiharibu na kuidanganya dunia

Vipofu wa akili ni ngumu kutambua yaliyo nyuma ya hizo dini zenu za mchongo zinazowahubiria amani wakati ndizo zinazofadhiri maovu yote dunian kuanzia vita+ugaidi, mauwaji, magonjwa, uvunjifu wa mila na desturi, ushirikina, uzushi, uporwaji wa mali na mengineyo mengi ya hovyo yanaongozwa na hizo dini zenu mnazoziamini.

Amkeni fungueni akili.
 
Kanisa sio Jengo kanisa ni wew mwanadamu sijui kwanini hao wahuni wenu walibadiri maana ya hili Neno ili kuwaibia.

Hakuna maana wala haja ya watu kujumuika ktk hayo makusanyiko ya kizushi mnayoyaita Makanisa, maana ktk biblia kanisa ni mtu na sio jengo na hakuna mahala mmeambiwa mfanye huu ujinga mnaoufanya makanisani.

Makanisa ni mipango na malengo ya wazungu wa Roma/vatican kucontrol jamii mbalimbali dunian pia hutumia sehemu ya mapato ya wanakanisa kujinufaisha ama kukuza uchumi wa Vatican na kutimiza malengo yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii dunian kwa kutimiza ajenda zao huko sirini.

Watu kama wangejua yaliyomo nyuma ya haya makanisa na malengo ya haya makanisa basi watu wangeamka wangeachana na huo ujinga badala yake wangekomaa kuongeza maarifa ya kiroho na kimwili nje ya uongo wa kidini.

Vatican wameiharibu sana dunina kwa mambo mengi, wameidanganya dunia na bado wanaendelea kuiharibu na kuidanganya dunia

Vipofu wa akili ni ngumu kutambua yaliyo nyuma ya hizo dini zenu za mchongo zinazowahubiria amani wakati ndizo zinazofadhiri maovu yote dunian kuanzia vita+ugaidi, mauwaji, magonjwa, uvunjifu wa mila na desturi, ushirikina, uzushi, uporwaji wa mali na mengineyo mengi ya hovyo yanaongozwa na hizo dini zenu mnazoziamini.

Amkeni fungueni akili.
Ili wewe Ufunguke uache kuibiwa na Wachungaji mchongo wanajenga mabangaloo yao wakati Kanisa ni 'Mabati' na Viti 'Plastiki'... miaka nenda Miaka rudi.

Soma Hagai 1 : 8
"Pandeni milimani mkalete miti,mkaijenge nyumba,nami nitaifurahia,nami NITATUKUZWA,asema Bwana"...!
 
Kanisa sio Jengo kanisa ni wew mwanadamu sijui kwanini hao wahuni wenu walibadiri maana ya hili Neno ili kuwaibia.

Hakuna maana wala haja ya watu kujumuika ktk hayo makusanyiko ya kizushi mnayoyaita Makanisa, maana ktk biblia kanisa ni mtu na sio jengo na hakuna mahala mmeambiwa mfanye huu ujinga mnaoufanya makanisani.

Makanisa ni mipango na malengo ya wazungu wa Roma/vatican kucontrol jamii mbalimbali dunian pia hutumia sehemu ya mapato ya wanakanisa kujinufaisha ama kukuza uchumi wa Vatican na kutimiza malengo yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii dunian kwa kutimiza ajenda zao huko sirini.

Watu kama wangejua yaliyomo nyuma ya haya makanisa na malengo ya haya makanisa basi watu wangeamka wangeachana na huo ujinga badala yake wangekomaa kuongeza maarifa ya kiroho na kimwili nje ya uongo wa kidini.

Vatican wameiharibu sana dunina kwa mambo mengi, wameidanganya dunia na bado wanaendelea kuiharibu na kuidanganya dunia

Vipofu wa akili ni ngumu kutambua yaliyo nyuma ya hizo dini zenu za mchongo zinazowahubiria amani wakati ndizo zinazofadhiri maovu yote dunian kuanzia vita+ugaidi, mauwaji, magonjwa, uvunjifu wa mila na desturi, ushirikina, uzushi, uporwaji wa mali na mengineyo mengi ya hovyo yanaongozwa na hizo dini zenu mnazoziamini.

Amkeni fungueni akili.
Makusanyo ya hayo pesa data zake zipo, na hata matumizi yake yapo, haibiwi mtu, kwanza wanufaika wakubwa ni waafrika maana sisi ndio tunaongoza kuomba hizo pesa katika shughuli mbalimbali za kikanisa
 
Kanisa sio Jengo kanisa ni wew mwanadamu sijui kwanini hao wahuni wenu walibadiri maana ya hili Neno ili kuwaibia.

Hakuna maana wala haja ya watu kujumuika ktk hayo makusanyiko ya kizushi mnayoyaita Makanisa, maana ktk biblia kanisa ni mtu na sio jengo na hakuna mahala mmeambiwa mfanye huu ujinga mnaoufanya makanisani.

Makanisa ni mipango na malengo ya wazungu wa Roma/vatican kucontrol jamii mbalimbali dunian pia hutumia sehemu ya mapato ya wanakanisa kujinufaisha ama kukuza uchumi wa Vatican na kutimiza malengo yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii dunian kwa kutimiza ajenda zao huko sirini.

Watu kama wangejua yaliyomo nyuma ya haya makanisa na malengo ya haya makanisa basi watu wangeamka wangeachana na huo ujinga badala yake wangekomaa kuongeza maarifa ya kiroho na kimwili nje ya uongo wa kidini.

Vatican wameiharibu sana dunina kwa mambo mengi, wameidanganya dunia na bado wanaendelea kuiharibu na kuidanganya dunia

Vipofu wa akili ni ngumu kutambua yaliyo nyuma ya hizo dini zenu za mchongo zinazowahubiria amani wakati ndizo zinazofadhiri maovu yote dunian kuanzia vita+ugaidi, mauwaji, magonjwa, uvunjifu wa mila na desturi, ushirikina, uzushi, uporwaji wa mali na mengineyo mengi ya hovyo yanaongozwa na hizo dini zenu mnazoziamini.

Amkeni fungueni akili.
Kuna tofauti gani ndugu kati ya KANISA na WAUMINI?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ili wewe Ufunguke uache kuibiwa na Wachungaji mchongo wanajenga mabangaloo yao wakati Kanisa ni 'Mabati' na Viti 'Plastiki'... miaka nenda Miaka rudi.

Soma Hagai 1 : 8
"Pandeni milimani mkalete miti,mkaijenge nyumba,nami nitaifurahia,nami NITATUKUZWA,asema Bwana"...!
Kazia hapo hapo.
Atutofautishia kati ya kanisa na waumini

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kanisa sio Jengo kanisa ni wew mwanadamu sijui kwanini hao wahuni wenu walibadiri maana ya hili Neno ili kuwaibia.

Hakuna maana wala haja ya watu kujumuika ktk hayo makusanyiko ya kizushi mnayoyaita Makanisa, maana ktk biblia kanisa ni mtu na sio jengo na hakuna mahala mmeambiwa mfanye huu ujinga mnaoufanya makanisani.

Makanisa ni mipango na malengo ya wazungu wa Roma/vatican kucontrol jamii mbalimbali dunian pia hutumia sehemu ya mapato ya wanakanisa kujinufaisha ama kukuza uchumi wa Vatican na kutimiza malengo yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii dunian kwa kutimiza ajenda zao huko sirini.

Watu kama wangejua yaliyomo nyuma ya haya makanisa na malengo ya haya makanisa basi watu wangeamka wangeachana na huo ujinga badala yake wangekomaa kuongeza maarifa ya kiroho na kimwili nje ya uongo wa kidini.

Vatican wameiharibu sana dunina kwa mambo mengi, wameidanganya dunia na bado wanaendelea kuiharibu na kuidanganya dunia

Vipofu wa akili ni ngumu kutambua yaliyo nyuma ya hizo dini zenu za mchongo zinazowahubiria amani wakati ndizo zinazofadhiri maovu yote dunian kuanzia vita+ugaidi, mauwaji, magonjwa, uvunjifu wa mila na desturi, ushirikina, uzushi, uporwaji wa mali na mengineyo mengi ya hovyo yanaongozwa na hizo dini zenu mnazoziamini.

Amkeni fungueni akili.
maana ya neno KANISA
1.Mwili wa Kristo yaani wafuasi wake Yesu...Biblia inaposema atakuja kulichukua kanisa inamaanisha wakristo waliookoka dunia nzima wanaoishi kwa utakatifu wakimngojea Yesu aje awachukue 1 Thesalonike 4:13-17
2.Maana ya pili ya neno Kanisa ni Jengo la kuabudia kwa wakristo ...kama ambavyo waislamu wana msikiti na wayahudi wana sinagogi + hekalu
3.Maana ya tatu ya neno kanisa ni dhehebu .Dini ya Ukristo kama zilivyo dini zingine zote duniani inayo pia madhehebu .Neno kanisa hutumika kutofautisha dhehebu fulani na fulani kwamfano kanisa la moravian,kanisa katoliki,kanisa la wasabato n.k

Kuhusu matoleo ya SADAKA Biblia inatufundisha kuwa ukishatoa sadaka hupaswi hata kujua hapo kanisani wanaifanyia nini ,Imani yako inapaswa kuwa umemtolea Mungu na sio wanadamu 2 Wakorintho 9:6-7
 
Back
Top Bottom