Kuna katekista mmoja alipokuwa anazipeleka zile hela jimboni,alikuwa anaongozana na mke wake, akifika mjini anaenda kilabuni, piga ugimbi sana, akimaliza hera analudi zake kijijini
Paroko akaja kustukia mchezo, ilibidi asimamishwe, tulikuwa tunamuita anadhambi ya kula sadaka kipindi hicho wakati mdogo, alikuwa na maisha magumu, watoto zake si kuona hata mmoja ingalau kupewa msaada na kanisa, zaidi ya kuishi kwenye dibwi la umaskini, wakati mapadiri na masista walikuwa wanaishi vizuri tu, baada ya kuwa mkubwa nimemsapoti kwa alichokuwa anakifanya, yaani usalishe usipewe hata hela ya sabuni, halafu sadaka wapewe watu wa Vatikani kweli?
Ukatoliki unauonevu mkubwa sana, ni zaidi ya utumwa