Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

Katika 2 Wakorintho 9:7, mtume Paulo alisema, “Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu. Huku akiwatia moyo waumini wa Korintho watoe kwa ukarimu, Paulo hakutaka watoe zaidi ya uwezo wao, "kwa kusita au kwa kulazimishwa." Muhimu zaidi, alitaka wategemee imani zao za ndani. Kifungu hiki na ibada hii ni ukumbusho kwamba Mungu anajali zaidi nia ya mioyo yetu kuliko matendo yetu.
 
Ok ahsante mkuu kwa kunijuza
 
Hiyo Aya ya mwisho nahisi ndio chanzo Cha kuwepo utitiri wa wachungaji Kila Kona ya nchi maana wameona fursa ya kuwapiga waumini wenye mtizamo kama wako.
 
Dini ni biashara
 
Utaratibu wa kanisa KATOLIKI UPO WAZI TEMBELEA Parokia iliyokaribu nawe utapewa taarifa .
 
Kwa hio walokole wapo sawa kila mmoja kujianzishia kanisa lake na kumiliki kila kitu mwenyewe mfano Gwajiboy.
 
Hiyo Aya ya mwisho nahisi ndio chanzo Cha kuwepo utitiri wa wachungaji Kila Kona ya nchi maana wameona fursa ya kuwapiga waumini wenye mtizamo kama wako.
Sio mtazamo wangu ila ni mtazamo wa kibiblia.Jaribu kufuatilia masomo yanayohusu Sadaka ya Mwalimu Mwakasege utaelewa zaidi.
Blessed is the hand that giveth than the one that taketh Acts 20:35 Proverbs 22:9-19
 
Siyo kweli,Hakuna msikiti unaokusanya hela kupeleka maka,kwanza hatuna utaratibu wa kushea sadaka za msikiti zinatumika msikitini hapohapo hata bakwata ya wilaya hazifiki[emoji2]
Kama kwenu hamna, huko kwingine wanajitoa ndio maana misaada ya kujenga misikiti na kuhudumia inakuja huku, wapo wanaojitoa kwa ajili ya hiyo.
 
Sio mtazamo wangu ila ni mtazamo wa kibiblia.Jaribu kufuatilia masomo yanayohusu Sadaka ya Mwalimu Mwakasege utaelewa zaidi.
Blessed is the hand that giveth than the one that taketh Acts 20:35 Proverbs 22:9-19
Sawa mkono unaotoa ndio unaopokea ila unaangalia na unayempa naona unatafsir vibaya maandiko, alafu Mwakasege ndio nani ? Sie wengine tunamuona wa kawaida tu kama wengine wanaojidai watumishi wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…