AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Ndio maana wanasema the richest person ni papa sio Elon muskSasa kama kila nchi sadaka zinaenda Vatcan, hao jamaa wa Vatcan wanaweza kununua bara la Afrika wakiamua,fikiria kila wiki sadaka zinaenda vatcan, na sio sadaka za Tanzania tu Duniani kote walipo wa Roman catholic,kila wiki sadaka ziende Vatcan miaka yote,
Hiyo ndogo ukishatoa kubwa inatumika wapi?Sehemu kubwa ya sadaka hutumika eneo au Jimbo husika .
Unawezaje kumuabudu Mungu kwenye mavumbi na mabati wakati una uwezo wa kujenga sehemu nzuri?Kanisa sio Jengo kanisa ni wew mwanadamu sijui kwanini hao wahuni wenu walibadiri maana ya hili Neno ili kuwaibia.
Hakuna maana wala haja ya watu kujumuika ktk hayo makusanyiko ya kizushi mnayoyaita Makanisa, maana ktk biblia kanisa ni mtu na sio jengo na hakuna mahala mmeambiwa mfanye huu ujinga mnaoufanya makanisani.
Makanisa ni mipango na malengo ya wazungu wa Roma/vatican kucontrol jamii mbalimbali dunian pia hutumia sehemu ya mapato ya wanakanisa kujinufaisha ama kukuza uchumi wa Vatican na kutimiza malengo yake ya kisiasa, kiuchumi na kijamii dunian kwa kutimiza ajenda zao huko sirini.
Watu kama wangejua yaliyomo nyuma ya haya makanisa na malengo ya haya makanisa basi watu wangeamka wangeachana na huo ujinga badala yake wangekomaa kuongeza maarifa ya kiroho na kimwili nje ya uongo wa kidini.
Vatican wameiharibu sana dunina kwa mambo mengi, wameidanganya dunia na bado wanaendelea kuiharibu na kuidanganya dunia
Vipofu wa akili ni ngumu kutambua yaliyo nyuma ya hizo dini zenu za mchongo zinazowahubiria amani wakati ndizo zinazofadhiri maovu yote dunian kuanzia vita+ugaidi, mauwaji, magonjwa, uvunjifu wa mila na desturi, ushirikina, uzushi, uporwaji wa mali na mengineyo mengi ya hovyo yanaongozwa na hizo dini zenu mnazoziamini.
Amkeni fungueni akili.
Inawezekana maana sijawahi kusikia kama vatican wana lima, kuchimba mafuta wala kuwa na viwanda. Hawajishughulishi na shughuli yoyote ya uzalishaji/kiuchumi so its obvious wanaishi kwa pesa zinazotoka makanisani kote ulimwenguniHabari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio Mkristo nikajisemea moyoni nitalifanyia kazi nipate uhakika wa hili.
Kama ni kweli inakuaje wao kwa utajili walionao baada ya kutusaidia sisi tuna wasaidia wao?
Basi jamaa wajanja sanaInawezekana maana sijawahi kusikia kama vatican wana lima, kuchimba mafuta wala kuwa na viwanda. Hawajishughulishi na shughuli yoyote ya uzalishaji/kiuchumi so its obvious wanaishi kwa pesa zinazotoka makanisani kote ulimwenguni
Kimbukeni kuwa population Yao Ni watu 800 tuu SEMA imani ya watu hii Ni kama waislamu na Makkah Pesa wanazopeleka Kule Ni kufuru[emoji28][emoji28][emoji28] kwenda kumpiga jiwe shetaniHabari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio Mkristo nikajisemea moyoni nitalifanyia kazi nipate uhakika wa hili.
Kama ni kweli inakuaje wao kwa utajili walionao baada ya kutusaidia sisi tuna wasaidia wao?
Kwahiyo Vatikani haziendiSUBIR NIWAPE UKWL
SADAKA Katoliki kuna ile Sadam ya kwanza na sadaka ya pili
Sadaka ya kwanza yote inapelekwa jimbo kuu husika wa sadaka ya pili inabaki kanisani kwa ajili ya ishu ndogo ndogo
Mwaka wa kanisani bila kukosea unaanza mwez wa sita Kuna fungu Yani bajeti (hela) zinatoka jimbo kuja parokiani Yani matumizi ya mwaka mzima hela inawekwa kweny acc ya parokia ivyo usitegemee kuona kanisa katoliki kinatikisika ki uchumi
Dini wametuletea sawa na vijisente vyetu navyo wanataka? Hii ni biasharaBasi Roman ni matajiri.
- wanajenga makanisa ambayo si mali ya mchungani,
-wanajenga hospitali zinazotibu dini zote, ---wana mashirika kama Caritas yanatoa misaada ya maafa kwa dini zote,
-wanaendesha vituo vya yatima na wazee
-wanajenga mashule yanayoendeshwa na masister na wanasoma watu wa dini zote ---waumini wakija kusali wanakuja wamevaa vizuri pamoja na familia zao
-pesa nyingine wanapeleka vatican
**Kwa hiyo hayo madhehebu ambayo hayapeleki sehemu yoyote wanajivunia nini?
nenda kamwulize Pengo siyo kila kitu cha kuleta humu, JF siyo shimo la takaHabari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio Mkristo nikajisemea moyoni nitalifanyia kazi nipate uhakika wa hili.
Kama ni kweli inakuaje wao kwa utajili walionao baada ya kutusaidia sisi tuna wasaidia wao?
Huu ni uongo mtakatifu....Iko hivi yaani sadaka huwa zinakusanywa kutoka vijijini ndani kabisa huko, makatekista wanazihesabia tena kwa kusimamiwa na watu zaidi ya mmoja, zinaandikwa kiasi halafu katekista anapeleka wilayani
Ikifika wilayani inapelekwa jimboni, yaani mkoani, hapo inapigwa hesabu yote ya mkoa mzima, halafu zinapelekwa makao makuu, hapa naamini wanaingiza bank, zikifika makao makuu sasa ndiyo zinachenjiwa kutoka Tshilingi kwenda Euro zinapelekwa Vatican, sijui kama huo utaratibu wameubadilisha kwa sasa
Ni sadaka ya ijumaa kuu peke yake ndio huwa inakusanywa na kupelekwa vatican na huwa inatangazwa sio ya kila jumapili. Sadaka za kila wiki zinakuwa za matumizi ya jimboni husika na ndio maana kila mwaka huwa yanasomwa mapato na matumizi ya sadaka kanisani. Kwahiyo kwa mwaka mara moja tuu sadaka inaenda Vatican.Habari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio Mkristo nikajisemea moyoni nitalifanyia kazi nipate uhakika wa hili.
Kama ni kweli inakuaje wao kwa utajili walionao baada ya kutusaidia sisi tuna wasaidia wao?
Nipe ukweli wako wewe?Huu ni uongo mtakatifu....
Akili ndogo uzianenda kamwulize Pengo siyo kila kitu cha kuleta humu, JF siyo shimo la taka
Hiyo Avatar yako sasa imenivuruga MENERIKI IINi sadaka ya ijumaa kuu peke yake ndio huwa inakusanywa na kupelekwa vatican na huwa inatangazwa sio ya kila jumapili. Sadaka za kila wiki zinakuwa za matumizi ya jimboni husika na ndio maana kila mwaka huwa yanasomwa mapato na matumizi ya sadaka kanisani. Kwahiyo kwa mwaka mara moja tuu sadaka inaenda Vatican.
Si wilaya hata kwenye kata tu hazifiki,, zinaishia hapo hapo kwa matumizi ya hapo hapo,, taasisi yoyote au mtu binafsi endapo kama atataka msaada achangiwe basi yeye mwenyewe atakuwepo siku hiyo waumini watamchangia na atakabhiwa sadaka yake hapo hapo yani hakuna sijui ipitie mkoani wala wilayaniSiyo kweli,Hakuna msikiti unaokusanya hela kupeleka maka,kwanza hatuna utaratibu wa kushea sadaka za msikiti zinatumika msikitini hapohapo hata bakwata ya wilaya hazifiki[emoji2]