Kuna ulazima gani kupendwa na mdada wa JF?

Kuna ulazima gani kupendwa na mdada wa JF?

umesema ukweli mkuu ,
Shout out to youuuuuuu.

wala hamna Upekee wowote ,walioko humu ndo wale walioko mtaani isipokua kitu kidogo "Wepesi na maisha halisi".

And saaaana ni mwanamke kuongeza idadi ya washikaj zake ,, Huku mwanamme naye akiongeza idadi ya wanawake wake .

Kwa mwanaume Nisifa kwake ""Kula mademu wa humu wengi ,hii nisababu JF ni jamii ndogo inayojulikana ,yaan nisawa nikula mademu wengii mlogroup moja wasap"" kwaiyo hapa mwanamme ajisifii idadi ya alowagonga, bali kichwan anajisifu uwezo wake wa kugonga mademu wengiii wanaojuana na wanaoitana dada !!.

Zaidi niniseme , One of Social media ambayo its a pool of HIV , namahali pekee ambayo kwa Tanzania nisehemu ya Ngono zembe (Hapa both me and ke ) wanastruggle kuongeza idadi ya walotiana +mahali pekee ambako sex ni rahisi ,nikitu cha kawaida ni JamiiForums .

Nirahisi sababu moja tu *Hunijui Sikujui* ... demu anagongwa ,akiachana anabadili ID, anapata mwingine naye anamgonga so maisha ya humu ni mduara !! ......... Watu hawaogopani and Sex ni rahisi km ilivokua kwa wanawake wa Pwan,Lindi,mtwara na Dar.
Chungu lkn nitainywa nitafutie dada tukamilishe mzunguluko basi
 
Ila ww uko poa sana
Im sure hata ww unakitambua. Angekuwa mdada mwingine nimtolew macho hivi lazima ningeambulia matusi.
Najua hutaki kuja kwa sababu namba yako ninayo tayari.
Ulinipa kwa ile id yako za zamani ndio maana nikakomaa na ww nilitaka kujua kuwa ndo wewe.
Nakucheki whatsapp babe tupashe kiporo my love hot cake
 
Ila ww uko poa sana
Im sure hata ww unakitambua. Angekuwa mdada mwingine nimtolew macho hivi lazima ningeambulia matusi.
Najua hutaki kuja kwa sababu namba yako ninayo tayari.
Ulinipa kwa ile id yako za zamani ndio maana nikakomaa na ww nilitaka kujua kuwa ndo wewe.
Nakucheki whatsapp babe tupashe kiporo my love hot cake
Mh hii ndo ID yangu ya kwanza humu labda km umenichanganya na kale kademu kako
 
Mh sijawahi kumaliza muda wote huo labda nijaribu na sijui km itawezwkana labda nisubiri uzeeni halafu ntakujibu sasa swali lako
Sasa utajaribuje? Kutongoza?.
E bwana ee ngoja nikuache bwana. Usije ukanipa papuchi bure wakati mi sitaki za JF.
Ila ww nishakupeleka kibla zamani sana
 
Back
Top Bottom