Kuna ulazima kwa mwenye leseni Daraja C kusoma tena C1, C2, C3?

Kuna ulazima kwa mwenye leseni Daraja C kusoma tena C1, C2, C3?

Hassan sele jr

New Member
Joined
Aug 28, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Hivi kama umesomea na una leseni daraja C, Kuna ulazima wa kusoma tena C1, C2, C3?

Huwezi kutumia C kuendeshea hizo☝️?

Wanahusika na kuendesha magari ya aina gani?

Eti hili uwe na leseni daraja C ni lazima uwe na (PSV)?
 
Back
Top Bottom