Sasa funzo yeye litamsaidia nini?Ikibidi lakini kama yana funzo la kuokotamo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa funzo yeye litamsaidia nini?Ikibidi lakini kama yana funzo la kuokotamo.
Lets take example ex wako uliachana nae kwa sababu ni mlevi, Lazima umgusie hiyo mtu wako wa sasa ili ajue kwamba hupendi mtu mlevi na upo tayari kurisk mahusiano kama akiangukiamo kwenye ulevi.Sasa funzo yeye litamsaidia nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko nae m1 tyuuh.Una wangapi tuanzie hapo [emoji81][emoji81][emoji81]
Thubutuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli namjibia rafiki angu [emoji81][emoji81][emoji81]
Unakosea, ww mwambie tu mimi sipendi ulevi km ni wa kuelewa atakuelewa. Sio kumpa mifano halisia ya ma Ex haitasaidia chochote tena kuleta mambo ya max utaharibu tuLets take example ex wako uliachana nae kwa sababu ni mlevi, Lazima umgusie hiyo mtu wako wa sasa ili ajue kwamba hupendi mtu mlevi na upo tayari kurisk mahusiano kama akiangukiamo kwenye ulevi.
Lakini nakuelewa ni kwanini hujaweza kuifumbua comment yangu… Maana haikuhusu kama wewe ndo miyeyusho katika mahusiano yako yaliyopita hivyo hutataka mtu wako wa sasa ajue kwa kuwa wewe ndo ulizingua.
Mimi wangu aliniambia ana ma Ex 7, hamu sina juzi kafanya kosa dogo tu nikaaona hii ni nafasi ya kumuacha, akawa akituma txt sijibu alishinda ndani analia hadi sauti ikabadilika bado nipo nae ila sina imani nae japo nampendaTatizo wanauliza uliza mno,yaan wanaume nao wafukunyuku kweli🙌
Na ndiyo maana nikiulizwa kuhusu ex najibu Mie bikra Ila nina watoto🤒
Kuongeaongea kuhusu ago haitakiwi.....ona sasa maex saba wanamvunjia penziMimi wangu aliniambia ana ma Ex 7, hamu sina juzi kafanya kosa dogo tu nikaaona hii ni nafasi ya kumuuacha, akawa akituma txt sijibu alishinda ndani analia hadi sauti ikabadilika bado nipo nae ila sina imani nae japo nampenda
Duh wewe si Jana nilikuambia mimi naniKumbe wewe ndiye lethergo🙄
Nop kwani mwisho si ID mbili?Nakujua mbona! Nilidhani na ile ni yako
Hata 10Nop kwani mwisho si ID mbili?
Duh basi inaweza ikawa humu tupo wachache sana ila Id ni nyingiHata 10
Nipo nae kwa code,Kuongeaongea kuhusu ago haitakiwi.....ona sasa maex saba wanamvunjia penzi
[emoji1787]Tatizo wanauliza uliza mno,yaan wanaume nao wafukunyuku kweli[emoji119]
Na ndiyo maana nikiulizwa kuhusu ex najibu Mie bikra Ila nina watoto[emoji855]